Sunday Citizen Yamtetea Blandina Nyoni leo front page

Ndugu zagu naomba tumpuuze mwandishi pamoja mhariri wa hili gazeti. Wana malengo mabaya sana ya kumsafisha huyu mama ambaye dharau zake na utendaji wake wa kibabe vimegharimu maisha ya watanzania wenzetu. Wamesukumwa na rushwa na hawako makini katika kazi zao.
 
Utetezi mwingine wa kujishushia hadhi. Siku zote kizuri chajiuza kibaya cha jitembeza. Kama ni mzuri kwa hayo wanayomtetea nayo basi ajibu tuhumu nzito za kifisadi alizobeba "kichwani".
 
Wewe "only83" leta ushahidi juu ya tuhuma zake unaoweza ku-prove allegations zako beyound reasonable doubt.
Mpaka sasa sijaona walalamikaji dhidi ya Blandina Nyoni wakileta ushahidi mzito unaomtia hatiani mama huyu. Allegations zote zipo KIMAJUNGUMAJUNGU TUU! Nitashangaa sana kama JK Raisi wa TZ atafanyia kazi majungu hayo. Jamani tunapo taka kuinyang'anya haki ya mtu tuwe na substantial grounds and watertight evidence.Siyo rumors tuu. Mama B.Nyoni remains to be innocent until the contrary is proved.This is according to the principal of natural justice. Wa TZ tuondoe umbumbumbu wa kukurupuka tu na kuanza kumchafua na kumdhalilisha mtumishi mahiri wa umma pasipo kuwa na ushahidi wenye mshiko. Pale wizara ya afya pana mafisadi wengi ambao wamekuwa wakichakachua fedha za miradi miaka nendarudi. Mama B.Nyoni "aliwakamata kubaya" ndo maana wakaorganise ule mgomo. Jamani ukweli utatuweka huru! Mama huyu ni mchapakazi mahiri sana! mimni mwenyewe namfahamu si kwakusikia, bali kwa kumuona mwenyewe na mcho yangu na akili yangu akiwa makini kwenye kazi. Tuache majungu!
 
Hakuna ubishi Mama Nyoni amefanywa kondoo tuu wa kafara!. Ila pia nimependa comments za CAG!. Uttouh alipoteuliwa CAG, Mama Nyoni alikuwa Accountant General, CAG akawashutumu vijana wa Nyoni (accoutants) ndio chanzo cha ripoti chafu za ukaguzi!, Mama Nyoni akawatetea vijana wake kwa nguvu zote na kuwavurunishia makombora vijana wa Uttoh (auditors) kuwa wanakuja kufanya ukaguzi, wanakuja na pre conceived malice ya fault finding kuwa pesa zimeliwa, hivyo wanakuja na ma audit query kibao hata kama majibu yapo hawapokei na kuishia kuandika adverse opinion!. Haikupita mwezi, Mama Nyoni akang'olewa as Accountant Geberal!.

Pamoja na shutuma kibao kwa huyu mama, kiukweli ni smart upstairs, personal look na wizara zote alizopita!. Tazameni banda la Maliasili pale Sabasaba!. Mliobahatika kupita banda la Wizara ya Afya Miaka 50 ya Uhuru mtakubaliana na mimi.

Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni!.

Pasco,

Nilishasema sana huko nyuma, ukweli utakuja kujulikana tuu, Mama Nyoni atapata haki yake anayostahili. Mama huyu hakutendewa haki kabisa, amehukumiwa kutokana na maneno ya mitandao.
 
...If you want to know a "person" go deep into his/her history! Don't leave the trace of his or her past and those begotten unto him or her. The equation here is: BLANDINA = INDIVIDUAL + ACCOUNTABILITY +PROFESSIONALISM. Blandina should be researched on the three perspectives as found in the conotated equation. Let us be fair to her and to ourselves; we need to research on the parameters that can justify the misconduct of Blandina in the sense of her PROFESSIONALISM (KNOWLEDGE + SKILLS + ETHICS). Is she knowledged;skilled; and ethical? If NO; where she went wrong and why? From there we would be in a position to question her INTEGRITY to her post(s) from when she was a "tutorial assistant" at IDM - Mzumbe (now Mzumbe University) up to where she was terminated at the Ministry of Health and Social Welfare (as PS). Without keen and queer research let’s not speak nor write - this is theprinciple of professionalism!

only God will be fair to us no matter what bad things we did to our fellows, but for this lady, those who were not touched by her evil practices will stand for her, but for the victims, will even propose death sentence to her, on my side, I can not even forgive her because I rely on stories showing her worst side
 
Wewe "only83" leta ushahidi juu ya tuhuma zake unaoweza ku-prove allegations zako beyound reasonable doubt.
Mpaka sasa sijaona walalamikaji dhidi ya Blandina Nyoni wakileta ushahidi mzito unaomtia hatiani mama huyu. Allegations zote zipo KIMAJUNGUMAJUNGU TUU! Nitashangaa sana kama JK Raisi wa TZ atafanyia kazi majungu hayo. Jamani tunapo taka kuinyang'anya haki ya mtu tuwe na substantial grounds and watertight evidence.Siyo rumors tuu. Mama B.Nyoni remains to be innocent until the contrary is proved.This is according to the principal of natural justice. Wa TZ tuondoe umbumbumbu wa kukurupuka tu na kuanza kumchafua na kumdhalilisha mtumishi mahiri wa umma pasipo kuwa na ushahidi wenye mshiko. Pale wizara ya afya pana mafisadi wengi ambao wamekuwa wakichakachua fedha za miradi miaka nendarudi. Mama B.Nyoni "aliwakamata kubaya" ndo maana wakaorganise ule mgomo. Jamani ukweli utatuweka huru! Mama huyu ni mchapakazi mahiri sana! mimni mwenyewe namfahamu si kwakusikia, bali kwa kumuona mwenyewe na mcho yangu na akili yangu akiwa makini kwenye kazi. Tuache majungu!

Lazima umfahamu kwani ulishanufaika naye, hakuna haki Tanzania, hongera kwa kuwa wakili wake,hujui tu unalolisema, hata mie nina nurse ninayemjua ambaye anamsifia sana kwa kuhakikisha kapata barua yake ya uhamisho mkononi mwake baada ya kuzungushwa na wabeba mafaili-huyu lazima amsifie sana na wengine wengi. Wizara ya afya imeoza siku nyingi, wizi mkubwa upo kwenye mafunzo wanayoyafanya maafisa wa pale, training moja inagharama mara mbili ya actual cost, rushwa kwenye miradi ya wafadhili, Mama Nyoni alikuwa anawadhibiti hawa ndo maana walimchukia zaidi, ila hii haiondoi yeye kuwa mwizi, alidhibiti wenzie aibepeke yake ndo kinachomla yeye. Angedhibiti wezi kwa manufaa ya serikali na si tumbo lake tungemuona Saint.
 
Wewe "only83" leta ushahidi juu ya tuhuma zake unaoweza ku-prove allegations zako beyound reasonable doubt.
Mpaka sasa sijaona walalamikaji dhidi ya Blandina Nyoni wakileta ushahidi mzito unaomtia hatiani mama huyu. Allegations zote zipo KIMAJUNGUMAJUNGU TUU! Nitashangaa sana kama JK Raisi wa TZ atafanyia kazi majungu hayo. Jamani tunapo taka kuinyang'anya haki ya mtu tuwe na substantial grounds and watertight evidence.Siyo rumors tuu. Mama B.Nyoni remains to be innocent until the contrary is proved.This is according to the principal of natural justice. Wa TZ tuondoe umbumbumbu wa kukurupuka tu na kuanza kumchafua na kumdhalilisha mtumishi mahiri wa umma pasipo kuwa na ushahidi wenye mshiko. Pale wizara ya afya pana mafisadi wengi ambao wamekuwa wakichakachua fedha za miradi miaka nendarudi. Mama B.Nyoni "aliwakamata kubaya" ndo maana wakaorganise ule mgomo. Jamani ukweli utatuweka huru! Mama huyu ni mchapakazi mahiri sana! mimni mwenyewe namfahamu si kwakusikia, bali kwa kumuona mwenyewe na mcho yangu na akili yangu akiwa makini kwenye kazi. Tuache majungu!

Blandina Nyoni kosa lake kubwa ni kuwa professional in a country whose civil servants wengi wao ni wababaishaji!! Alipofika pale wizara ya Afya kulikuwa na watu wamejijengea mitandao yao wa wizi na alipoanza kuisambaratisha ndio uhasama ukaanza kwa kupika majungu yasiyokuwa na mbele wala nyuma. Walichukia kwa kuhakikisha kuwa malipo yote pale wizarani yalikuwa yanahakikiwa na yeye kabla ya malipo kufanywa; hapo awali hawakuzoea hivyo na hiyo ilikuwa njia yao ya kuiba!! She could not be liked because she was introducing standards of quality assurance to people who were not used to it.
 
Mama B.Nyoni ameonewa vibaya. Huyu mama kwa sisi tunaomfahamu ni asset ya TAIFA.
i) Mama huyu ni hardworking woman ever.
ii)Mama huyu is real civil servant.
iii)Mama huyu ni very committed ktk kazi yake.
iv)Mama huyu anajua kufuatilia mambo.
v)Mama huyu hataki kazi yake iharibike.
vi)Mama huyu masilahi mapana ya taifa anayaweka mbele.
Plus other facts.
That is what I know from her.
Kilichofanyika hapo ni chuki binafsi zilizotokana na yeye kuziba mianya yote ya ufisadi wizara ya Afya.Katika alifanikiwa kwa vikubwa sana. ndio maana mafisadi wa wizara ya afya wakakasirika, hivyo kuhamasisha mgomo huo.

OMBI: naomba atendewe haki yake kwa kuilinda ajira yake. Vinginevyo tutakuwa tunahalalisha uonevu katika taasisi za umma. Mtu anayetetea mali za umma anakuwa mbaya mbele ya serikali. Raisi atumie busara ktk hili.

i) Mama huyu ni hardworking woman ever-ndiyo maana dili zote za wizara zinapitia kwake
ii)Mama huyu is real civil servant- ndiyo maana aliua raia wengi kwa kuingiza vipimo feki vya ukimwi
iii)Mama huyu ni very committed ktk kazi yake- kweli ndiyo maana hakuwa na muda wa kuwasikiliza madaktari
iv)Mama huyu anajua kufuatilia mambo- ndiyo maana kampuni yake iliuzia serikali nguo ambazo ni substandard bila kupitia PPRA
v)Mama huyu hataki kazi yake iharibike- ndiyo sababu aliua wengi na kafika alipofika sasa
vi)Mama huyu masilahi mapana ya taifa anayaweka mbele- kweli ndiyo maana aliliuzia taifa software bomu kwa millions of money

VII) huyu mama anajua sana kushughulika
- ndiyo maana alipata cheo hiki
 
i) Mama huyu ni hardworking woman ever-ndiyo maana dili zote za wizara zinapitia kwake
ii)Mama huyu is real civil servant- ndiyo maana aliua raia wengi kwa kuingiza vipimo feki vya ukimwi
iii)Mama huyu ni very committed ktk kazi yake- kweli ndiyo maana hakuwa na muda wa kuwasikiliza madaktari
iv)Mama huyu anajua kufuatilia mambo- ndiyo maana kampuni yake iliuzia serikali nguo ambazo ni substandard bila kupitia PPRA
v)Mama huyu hataki kazi yake iharibike- ndiyo sababu aliua wengi na kafika alipofika sasa
vi)Mama huyu masilahi mapana ya taifa anayaweka mbele- kweli ndiyo maana aliliuzia taifa software bomu kwa millions of money

VII) huyu mama anajua sana kushughulika
- ndiyo maana alipata cheo hiki
Who ever said it would be easy fighting corruption?
 
Mkuu Ndinani ni kweli kama unavyosema lakini kwa watetezi wote wa Blandina napenda kuwauliza mnadhani alionyesha uongozi wenye sifa zote hizo mnazo msifia wakati wa mgomo wa madaktari?
 
You Citizen I can see how you showering her for your own reason, time will tell and everyone will come out of this puzzled article. Soon or laiter every secret will be out, for any wiseperson doubts is there (why this article today??????)
 
Pasco,

Nilishasema sana huko nyuma, ukweli utakuja kujulikana tuu, Mama Nyoni atapata haki yake anayostahili. Mama huyu hakutendewa haki kabisa, amehukumiwa kutokana na maneno ya mitandao.


Hata ukitumia jiki kusafisha, mkaa utabaki kuwa mkaa tu
 
kazi ya vibahasha hiyo!

history ya kutudanganya hii nchi ya amani ndo imetufanya wajinga kiasi hiki. Wanaomtetea wamesahau yaliyomkuta mwangunga kuhusu vitalu huyu mama akiwa kule, wamesahau arv zilizoagizwa bado miezi sita from expiry date, hata hili la juzi la vipimo vya ukimwi? Mbona watanzania tunakuwa wanafiki sana? Ni watu wangapi wamejiua baada ya kuambiwa wako infectd, ni wangapi wamekosa arv na kuendelea kusambaza baada ya kuambiwa wako negative? Kuna vitu vingine huwa havisemwi ila vinafanyika. Muhimbili walikuwa wakiletewa hela ya bajeti inaandikwa cheki nyingine inarudi wizarani kwa amri ya huyu mama. Lipyoga alipozuia huo utaratibu akahamishwa na kupelekwa wizarani kwa kisingizio cha kazi maalumu. Yule mama aliamua kuondoka na kwenda sa. Tuacheni ushabiki wa kina utoh ambao nao ni wachafu na wafujaji wa mali za umma
 
Naombeni mnisaidie kwa takwimu au ushahidi. Baada ya Nyoni kufika hapo wizara ya afya, ubadhirifu umepungua? Ripoti za ukaguzi wa hesabu zimekuwa safi, bila shaka? Dawa zinapatikana mahospitalini? Vipimo vinapatikana? Dawa feki na zilizo expire haziagizwi tena? Wajawazito hawalali chini? Ukienda hospitali ya umma hutoi rushwa na kupigwa kalenda? Safari za India zimepungua? Ukiandika barua wizara ya afya ilikuchukua muda gani kupata jibu?
 
Ulaji ule ndugu yangu, hujui usemalo, du!!

eti mabanda ya sabasaba na miaka 50! Yana maana gani wakati wagonjwa hawana dawa,wanalala chini,hakuna gloves? Daktari na mgonjwa watanufaikaje na hayo mabanda?
 
Wewe "only83" leta ushahidi juu ya tuhuma zake unaoweza ku-prove allegations zako beyound reasonable doubt.
Mpaka sasa sijaona walalamikaji dhidi ya Blandina Nyoni wakileta ushahidi mzito unaomtia hatiani mama huyu. Allegations zote zipo KIMAJUNGUMAJUNGU TUU! Nitashangaa sana kama JK Raisi wa TZ atafanyia kazi majungu hayo. Jamani tunapo taka kuinyang'anya haki ya mtu tuwe na substantial grounds and watertight evidence.Siyo rumors tuu. Mama B.Nyoni remains to be innocent until the contrary is proved.This is according to the principal of natural justice. Wa TZ tuondoe umbumbumbu wa kukurupuka tu na kuanza kumchafua na kumdhalilisha mtumishi mahiri wa umma pasipo kuwa na ushahidi wenye mshiko. Pale wizara ya afya pana mafisadi wengi ambao wamekuwa wakichakachua fedha za miradi miaka nendarudi. Mama B.Nyoni "aliwakamata kubaya" ndo maana wakaorganise ule mgomo. Jamani ukweli utatuweka huru! Mama huyu ni mchapakazi mahiri sana! mimni mwenyewe namfahamu si kwakusikia, bali kwa kumuona mwenyewe na mcho yangu na akili yangu akiwa makini kwenye kazi. Tuache majungu!

Mkaa husafishwa KWA mkaa, jiki haitafua dafu, time will tell, sooner than later
 
eti mabanda ya sabasaba na miaka 50! Yana maana gani wakati wagonjwa hawana dawa,wanalala chini,hakuna gloves? Daktari na mgonjwa watanufaikaje na hayo mabanda?

Ndiyo Juulize zile tenda ZA Maua, chakula, unifomu vilikuwa vina Maana gani? Nadhani HUYO juma123 ndo Maana yake hiyo katika mchango wake
 
Mwandishi ingefaa pia aulizie uhusiano wa blandina nyoni na wafanyakazi wa wizara ya mali asili,akina shamsa mwangunga kipindi hicho na pia MOH kipindi kile cha aisha kigoda.sio kumuuliza utouh aliyemsafisha jairo akaishia kuaibika
 
Deo Mwanyika mbunge 2015 Njombe Kusini

Let us support him because of his inspirational ideas, CREATIVE STRATEGIES!

DEO MWANYIKA HOYEE! OUR 2015 MP NJOMBE KUSINI

TUMUUNGE MKONO JANANI WANYALU!
 
Back
Top Bottom