muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
What next for 'Iron Lady'? | Send to a friend |
What next for 'Iron Lady'? | Send to a friend |
Hakuna ubishi Mama Nyoni amefanywa kondoo tuu wa kafara!. Ila pia nimependa comments za CAG!. Uttouh alipoteuliwa CAG, Mama Nyoni alikuwa Accountant General, CAG akawashutumu vijana wa Nyoni (accoutants) ndio chanzo cha ripoti chafu za ukaguzi!, Mama Nyoni akawatetea vijana wake kwa nguvu zote na kuwavurunishia makombora vijana wa Uttoh (auditors) kuwa wanakuja kufanya ukaguzi, wanakuja na pre conceived malice ya fault finding kuwa pesa zimeliwa, hivyo wanakuja na ma audit query kibao hata kama majibu yapo hawapokei na kuishia kuandika adverse opinion!. Haikupita mwezi, Mama Nyoni akang'olewa as Accountant Geberal!.
Pamoja na shutuma kibao kwa huyu mama, kiukweli ni smart upstairs, personal look na wizara zote alizopita!. Tazameni banda la Maliasili pale Sabasaba!. Mliobahatika kupita banda la Wizara ya Afya Miaka 50 ya Uhuru mtakubaliana na mimi.
Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni!.
Hakuna ubishi Mama Nyoni amefanywa kondoo tuu wa kafara!. Ila pia nimependa comments za CAG!. Uttouh alipoteuliwa CAG, Mama Nyoni alikuwa Accountant General, CAG akawashutumu vijana wa Nyoni (accoutants) ndio chanzo cha ripoti chafu za ukaguzi!
Mama Nyoni akawatetea vijana wake kwa nguvu zote na kuwavurunishia makombora vijana wa Uttoh (auditors) kuwa wanakuja kufanya ukaguzi, wanakuja na pre conceived malice ya fault finding kuwa pesa zimeliwa, hivyo wanakuja na ma audit query kibao hata kama majibu yapo hawapokei na kuishia kuandika adverse opinion!.
Haikupita mwezi, Mama Nyoni akang'olewa as Accountant Geberal!.
Pamoja na shutuma kibao kwa huyu mama, kiukweli ni smart upstairs, personal look na wizara zote alizopita!. Tazameni banda la Maliasili pale Sabasaba!. Mliobahatika kupita banda la Wizara ya Afya Miaka 50 ya Uhuru mtakubaliana na mimi.
Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni!.
Hakuna ubishi Mama Nyoni amefanywa kondoo tuu wa kafara!. Ila pia nimependa comments za CAG!. Uttouh alipoteuliwa CAG, Mama Nyoni alikuwa Accountant General, CAG akawashutumu vijana wa Nyoni (accoutants) ndio chanzo cha ripoti chafu za ukaguzi!, Mama Nyoni akawatetea vijana wake kwa nguvu zote na kuwavurunishia makombora vijana wa Uttoh (auditors) kuwa wanakuja kufanya ukaguzi, wanakuja na pre conceived malice ya fault finding kuwa pesa zimeliwa, hivyo wanakuja na ma audit query kibao hata kama majibu yapo hawapokei na kuishia kuandika adverse opinion!. Haikupita mwezi, Mama Nyoni akang'olewa as Accountant Geberal!.
Pamoja na shutuma kibao kwa huyu mama, kiukweli ni smart upstairs, personal look na wizara zote alizopita!. Tazameni banda la Maliasili pale Sabasaba!. Mliobahatika kupita banda la Wizara ya Afya Miaka 50 ya Uhuru mtakubaliana na mimi.
Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni!.
Hakuna ubishi Mama Nyoni amefanywa kondoo tuu wa kafara!. Ila pia nimependa comments za CAG!. Uttouh alipoteuliwa CAG, Mama Nyoni alikuwa Accountant General, CAG akawashutumu vijana wa Nyoni (accoutants) ndio chanzo cha ripoti chafu za ukaguzi!, Mama Nyoni akawatetea vijana wake kwa nguvu zote na kuwavurunishia makombora vijana wa Uttoh (auditors) kuwa wanakuja kufanya ukaguzi, wanakuja na pre conceived malice ya fault finding kuwa pesa zimeliwa, hivyo wanakuja na ma audit query kibao hata kama majibu yapo hawapokei na kuishia kuandika adverse opinion!. Haikupita mwezi, Mama Nyoni akang'olewa as Accountant Geberal!.
Pamoja na shutuma kibao kwa huyu mama, kiukweli ni smart upstairs, personal look na wizara zote alizopita!. Tazameni banda la Maliasili pale Sabasaba!. Mliobahatika kupita banda la Wizara ya Afya Miaka 50 ya Uhuru mtakubaliana na mimi.
Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni!.
kazi ya vibahasha hiyo!
kazi ya vibahasha hiyo!
Mama B.Nyoni ameonewa vibaya. Huyu mama kwa sisi tunaomfahamu ni asset ya TAIFA.
i) Mama huyu ni hardworking woman ever.
ii)Mama huyu is real civil servant.
iii)Mama huyu ni very committed ktk kazi yake.
iv)Mama huyu anajua kufuatilia mambo.
v)Mama huyu hataki kazi yake iharibike.
vi)Mama huyu masilahi mapana ya taifa anayaweka mbele.
Plus other facts.
That is what I know from her.
Kilichofanyika hapo ni chuki binafsi zilizotokana na yeye kuziba mianya yote ya ufisadi wizara ya Afya.Katika alifanikiwa kwa vikubwa sana. ndio maana mafisadi wa wizara ya afya wakakasirika, hivyo kuhamasisha mgomo huo.
OMBI: naomba atendewe haki yake kwa kuilinda ajira yake. Vinginevyo tutakuwa tunahalalisha uonevu katika taasisi za umma. Mtu anayetetea mali za umma anakuwa mbaya mbele ya serikali. Raisi atumie busara ktk hili.
Pole Pasco na wenzio akina Semboja na Utoh, asifuye mvua imemnyea. Yote hayo munayoongea naona hamumjii vilivyo Blandina. She is a crook whose was correct place is jail only. Subiri tuonne hiyo tume itakavyosema
Mama B.Nyoni ameonewa vibaya. Huyu mama kwa sisi tunaomfahamu ni asset ya TAIFA.
i) Mama huyu ni hardworking woman ever.
ii)Mama huyu is real civil servant.
iii)Mama huyu ni very committed ktk kazi yake.
iv)Mama huyu anajua kufuatilia mambo.
v)Mama huyu hataki kazi yake iharibike.
vi)Mama huyu masilahi mapana ya taifa anayaweka mbele.
Plus other facts.
That is what I know from her.
Kilichofanyika hapo ni chuki binafsi zilizotokana na yeye kuziba mianya yote ya ufisadi wizara ya Afya.Katika alifanikiwa kwa vikubwa sana. ndio maana mafisadi wa wizara ya afya wakakasirika, hivyo kuhamasisha mgomo huo.
OMBI: naomba atendewe haki yake kwa kuilinda ajira yake. Vinginevyo tutakuwa tunahalalisha uonevu katika taasisi za umma. Mtu anayetetea mali za umma anakuwa mbaya mbele ya serikali. Raisi atumie busara ktk hili.
Mama B.Nyoni ameonewa vibaya. Huyu mama kwa sisi tunaomfahamu ni asset ya TAIFA.
i) Mama huyu ni hardworking woman ever.
ii)Mama huyu is real civil servant.
iii)Mama huyu ni very committed ktk kazi yake.
iv)Mama huyu anajua kufuatilia mambo.
v)Mama huyu hataki kazi yake iharibike.
vi)Mama huyu masilahi mapana ya taifa anayaweka mbele.
Plus other facts.
That is what I know from her.
Kilichofanyika hapo ni chuki binafsi zilizotokana na yeye kuziba mianya yote ya ufisadi wizara ya Afya.Katika alifanikiwa kwa vikubwa sana. ndio maana mafisadi wa wizara ya afya wakakasirika, hivyo kuhamasisha mgomo huo.
OMBI: naomba atendewe haki yake kwa kuilinda ajira yake. Vinginevyo tutakuwa tunahalalisha uonevu katika taasisi za umma. Mtu anayetetea mali za umma anakuwa mbaya mbele ya serikali. Raisi atumie busara ktk hili.
Hakuna ubishi Mama Nyoni amefanywa kondoo tuu wa kafara!. Ila pia nimependa comments za CAG!. Uttouh alipoteuliwa CAG, Mama Nyoni alikuwa Accountant General, CAG akawashutumu vijana wa Nyoni (accoutants) ndio chanzo cha ripoti chafu za ukaguzi!, Mama Nyoni akawatetea vijana wake kwa nguvu zote na kuwavurunishia makombora vijana wa Uttoh (auditors) kuwa wanakuja kufanya ukaguzi, wanakuja na pre conceived malice ya fault finding kuwa pesa zimeliwa, hivyo wanakuja na ma audit query kibao hata kama majibu yapo hawapokei na kuishia kuandika adverse opinion!. Haikupita mwezi, Mama Nyoni akang'olewa as Accountant Geberal!.
total ****,uupuzi ulioandika hapa,hajafanya chochote cha maana wizara ya afya. Wamrudishe waone moto wake