Baba Watoto
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 393
- 278
Anyways, nafikiri umri wangu unachangia, n ina mawazo tofauti kidogo.
Tunajua kuwa chombo cha usafiri kupata hitilafu ni kawaida lakini wahudu wanatakiwa kuwa na njia mbadala ya kushughulika na tatizo hilo na kutoa taarifa ya maendeleo.
Ila inapooneka kuwa ni mara kwa mara au mmekaa muda mrefu unaweza kupeleka malalamiko yako katika ofisi za SUMATRA, nafikiri kwa mara ya kwanza najaribu kuamini utendaji wa SUMATRA kama shirika la umma, wanafanya kazi vizuri sana na kwa weledi, hata kama ni kupotelewa na mzigo.
Tunajua kuwa chombo cha usafiri kupata hitilafu ni kawaida lakini wahudu wanatakiwa kuwa na njia mbadala ya kushughulika na tatizo hilo na kutoa taarifa ya maendeleo.
Ila inapooneka kuwa ni mara kwa mara au mmekaa muda mrefu unaweza kupeleka malalamiko yako katika ofisi za SUMATRA, nafikiri kwa mara ya kwanza najaribu kuamini utendaji wa SUMATRA kama shirika la umma, wanafanya kazi vizuri sana na kwa weledi, hata kama ni kupotelewa na mzigo.