Sumaye awavaa Polisi mauaji ya Mwangosi, askari walioua kufikishwa kizimbani J'tatu ijayo

Acha unafiki uliokithiri kijana. Leo unamuona Sumaye mnafiki sababu kasema ukweli ambao wengi wenu hampendi kuusikia. Badala ya kuzungumzia mauaji ya sasa unarudisha CD nyma ili usikilize nyimbo za zamani. Haya yanayotokea na hata hayo aliyoyafumbia macho Sumaye, ni matokeo ya udhaifu wa serikali ya CCM, usimnyoshee kidole Sumaye, unafiki ni kawaida yenu CCM kuanzia raisi na wengineo wote.

Mkuu kwa hiyo yakitokea mauji mapya ya zamani yanakuwa expire?
 
Huyo kamanda Kamuhanga pia ni mtuhumiwa anatakiwa afikishwe mahakamani pamoja na hao polisi wenzie. Hii serikali inapenda kuwalinda hata watu wasiostahili kulindwa, ndio maana tunaamini ulikuwa mpango uliopangwa.


Waache walindwe nasi tuwaombee Mungu awalinde mpaka hapo haki itakapotendeka!

mubarak_2.jpg






[h=1]Egyptians don't care about Hosni Mubarak's health scares....[/h]

Hosni-Mubarak-008.jpg


 
I do believe that the outcome will be the same as that of Imran Kombe killings, wale wachimba madini waliouawa sinza, kesi ya Dito, Ulimboka, etc etc, mashaka yako ndio utakuwa ukweli wenyewe, we have been there and that is where we will go again. Na watauawa wengine na hali itakuwa hivyo hivyo, mark my words.
Kimsingi hii ni funika kombe mwanaharamu apite, ninani anapelelza kesi zilizoko mahakamani hasa za mauaji?jibu ni polisi hao hao, je wakipeleka ushahidi dhaifu kuwalinda ndugu zao, kuwapeleka mahakamani inasaidia nini?je kama haina ushahidi ni nani anatoa idhini itolewe mahakamani?jibu ni mwendasha mashitaka mkuu wa serikali.nani namwajiri/jibu ni rais wa ccm ambaye ndo amtoa agizo kufanya hivyo ili CDM wachukiwe na umma, na pia kupta kichocheo cha kuifuta.Nakumbuka matamshi ya pinda ,a wasira ndo utekelezaji wake.hao jmaa watakaa kama miezi sita hivi halafu itatoka nore prosecue watoke.lakini hata wakipelekwa mahakamani ndo azimio litakuwa limefutwa?jibu hapana, polisiwataendelea ili kusudi TENDWA akamilishe azima yake kama alivyoelekezwa na wasira.wadau siasa za nchi zinazoendela, ndo kama tunavyoona.badala ya kuendeleza ustawi wa maisha ya watanzania, watawala wajibu wao kuhakikisha wanatawala milele na kuficha maovu yao.Neema za maisha bora hapa hakuna ila vifo vingi na vitisho kwa vyama pinzani.
 
Sasa majina ya wauaji hayajatajwa!wadau nisaidie ivi kati ya hao yule rpc,igp na waziri wao wamekamatwa?au ni yule muuaji na vidagaa 4? ?
 
Sasa majina ya wauaji hayajatajwa!wadau nisaidie ivi kati ya hao yule rpc,igp na waziri wao wamekamatwa?au ni yule muuaji na vidagaa 4? ?

dagaa ndio wamekamatwa, watoa amri wanatafuta namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite
 

Katika hatua nyingine askari watano wanaoshikiliwa Iringa wanaendelea kuhojiwa, huku taarifa zikieleza kuwa wanaweza kufikishwa mahakamani Jumatatu, kutokana na kushindikana jana.

Jana, taarifa zilisambaa kwamba askari hao walikuwa wafikishwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa, lakini hadi jioni, walikuwa hawajafikishwa. Pia hakukuwa na taarifa zozote za nini kilikuwa kinaendelea.

“Ni kweli walitakiwa wafikishwe leo, lakini hadi sasa hawajafika, wakifika nitawaeleza,” alisema mmoja wa wafanyakazi wa mahakama hiyo jana.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Michael Kamuhanda hakutaka kueleza lini watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani kwa kile alichosema kwamba kwa sasa yeye siyo msemaji wa jambo hilo.

Wanawatuhumu kwa kutenda kosa wao wenyewe,wanawahoji waho wenyewe na watafikishwa Mahakamani na wao wenyewe...Hivi Kamhanda yeye sio miongoni mwa watuhumiwa?? Kwanini asihusike kwa uzembe wa vijana wake?? Whyyyyyyyy? wwwwhy Kwa nini??
 
wewe nawe!!
utadhani huna kichwa! Unakeraje

Mkuu samahani sana kama nimekukera...lakini nilikuwa natoa tahadhari maana tumekuwa watu wa kukurupuka hasa linapotokea suala linalohotaji utaalamu huku kukiwa na mashinikizo ya kisiasa... tumeshuhudia mengi kama kesi ya Zombe, uvunjaji wa "hovyo" wa mikataba ya Kifisadi, nk... mara nyingi haya yote yamekuwa yakitoa matokeo hasi cha vile ambavyo tuliaminishwa na wanasiasa....ndiyo maana nikatoa tahadhari juu ya mashtaka ya waliohusika na mauaji ya Marehemu Daudi........isije kesi ikaisha "aliyeua hayupo hapa mahakamani".... ninarudia tena samahani kama nimekukera mkuu.......labda kwasababu tunafikiri tofauti
 
Kabla ya yote, ... ni lazima haki itendeke!... haki haitatendeka iwapo wafuatao hawatajiuzulu au kuchomolewa na Kikwete kupisha uchunguzi:1. Waziri Nchimbi;2. Mkuu wa mkoa wa IRINGA; 3. RPC;4. Mkuu wa wilaya;5. OCD; na 6. mkuu wa upelezi mkoa (RCO), 7. Chagonja.
 
Back
Top Bottom