Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 264
- 276
Madareva na makondakta wengi hawana customer care kwa abiria yani si unapoingia kwenye gari wal inapoharibika wanakaa kimya tu wakati wanatakiwa kumwambia abiria samahani gari imeharibika lakini tunafanya jitihada za matengenezo ili tuendelee na safari.
Wao wanakaa kimya tu abiria ndiyo wajiongeze hawaelezi kama gari utakuja kuhaulisha hivyo tu.
SUMATRA haki za abiria na nafikiria mpo hapa naomba mje kutoa ufafanuzi.
Wao wanakaa kimya tu abiria ndiyo wajiongeze hawaelezi kama gari utakuja kuhaulisha hivyo tu.
SUMATRA haki za abiria na nafikiria mpo hapa naomba mje kutoa ufafanuzi.