Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,198
- 25,517
Karibu mabasi yote ya Ubungo-Mlandizi yanaishia Kongowe hasa wakati huu wa usiku.Nijuavyo,hakuna hata daladala moja iliyopewa 'ruti' ya Ubungo-Kongowe kwasasa. Halafu,hata Askari wa Usalama barabarani pale Mailimoja wanasikia kabisa daladala zikitangaza kuishia Kongowe lakini wanakaa kimya. Mnataka abiria wa Mlandizi wachukue hatua gani? Kwani nyinyi SUMATRA mmeanzisha Ubungo-Kongowe?
Fanyeni kazi yenu ili abiria wa Mlandizi wasianzishe uasi...
Fanyeni kazi yenu ili abiria wa Mlandizi wasianzishe uasi...