Ambakisye Lazar
Member
- Sep 5, 2011
- 38
- 9
Kuna laana imeikumba Africa. Inatafuna taifa Moja baada ya jingine. Tz zamu yetu..ila laana uwa inaingia kupitia mlango / upenyo kutoka kwa chochote/mtu/watu walio na influence ktk taifa. Laana hiyo yabidi aliyeiruhusu afe au atengwe au aondolewe kwenye ngazi hiyo yenye influence La sivo tutaumia Sana. Mnaodhani mko salama, jichunguzeni.. mwenye akili hufikiria with an open mind. Think twice.
Mungu atusaidie.
Mungu atusaidie.