Sugu ni Mbunge anayepata Mshahara wa shilling million 7 kwa mwezi plus marupurupu kibao, wewe ndio unataka kumlinganisha na huyu Njiti MwanaFa!!??
Kimashairi na delivery ya ujumbe F.A yuko juu. Labda ungeuliza mengine vitu kama harakati hapo ningesema sugu.
Jengeni tabia ya kusoma vizuri na kuelewa mtu anacho uliza. Hakuuliza mshahara wala maisha kauliza ukilinganisha nyimbo (mziki) zao nani mkali? Mziki na ubunge ni vitu viwili tofauti. Vicky kamata ni mbunge na mwanamziki lakini ingawa ni mbunge mziki wake ukilinganisha na lyna sanga ambaye hana kitu lyna ni bora.
So jibu alichouliza
ungesema hivi ningekuelewa..
kimashair FA yupo juu ila kwa ujumbe,ebu chukua nymbo zote za SUGU na za FA,kisha angalia nan ana nyimbo nying zilizo na ujumbe..
Nyinyi si ndio wale Wanaume kama mabinti, kauli zako tu zinaonesha kwamba ni Adam Mchovu & co.....Sugu hana chochote cha kumlinganisha na mwana FA,kuuliza swali bungeni mpaka aandikiwe kwenye karatasi na kina mnyika ndo anajibu, hana lolote sema watanzania wamechoka wanachagua tu ili mradi awe mpinzani,mwana FA huwez kumlinganisha na huyu mshamba
Sasa hapa kuna mada au Uharo mtupu, wewe unataka kulinganisha mlima na Kichuguu? Fa na Sugu wapi na wapi, watu mliokuja mjini na mbio za Mwenge ni Rahisi kuwabaini.vema umemuelewesha coz kaenda nje ya mada..
Nyinyi si ndio wale Wanaume kama mabinti, kauli zako tu zinaonesha kwamba ni Adam Mchovu & co.....
Hizi dharau!.......labda muulizaji nani zaidi kwa sasa nyimbo zake kupigwa redioni?sugu pamoja na upimbi wake mwingine lakini huwezi kumfananisha na boya FA katika mziki!FA album moja hawezi kuandika yote mwenyewe mpaka asaidiwe kuandika!sugu nyimbo zake za miaka hiyo zikipewa air time leo zinahit!hili swali akiulizwa njiti FA mwenyewe atakuambia kaka SUGU zaidi
hahaha, wabongo bwana wakimpenda mtu watampa sifa hata ambazo hana ili mradi tu basi wamempenda. Lakini deep within wanajua ukweli ni upi japo wanajaribu ku change the fact, kwa hili swali jamaa aliloz uliza bila kuangalia mambo mengine ya kimaisha, na harakati FA ni mkalii kwa hili.
Mimi mtu akiniambia nimtajie watu nao wakubari, nitamtajia wafuatao kutoka na jinsi wanavyo andika na kudeliver message kuptia mziki na ntawataja tu si kwa mpangilio.
One the incredible, Fid Q, F.A, Hashim Dogo na naweza mwongeza Stereo.
Hii ni kutokana na kwamba uandishi wao uko tofauti si kila mtu anaweza uandishi ule
Uandishi gani unaosemea wewe!!
Ukisema tuwafananishe kwa sura zao ni kweli Mwana FA ni mrembo!! Halafu wewe unachanganyikiwa tokana na jinsi wanavyoghani kwa madoido na namna media zinavyo waglorify na kuwafanya waonekane wao ndio wanafanya vema!!
Unawafahamu XPs!!?? XPs wamefany hadi cypher za BET. Unaona ngoma zao zinavyo venture kimataifa?? Umewahi wasikia wakiwaiga wasanii wa marekani kwenye hicho mnachoita 'swagga'?? Muziki ni Identity na unapaswa uwe na namna yako ya kutambulika na si kuigizia!! Nadhani umesikia ngoma za Sugu zilivyo verbiage katika ujumbe na flow ya pekee!!
Unamfahamu Maembe?? PJ Chaba??
Muziki huo unaoshabikia haiwezi last kwa miaka hata sita itakuwa perish, kwani ni Big G kwa watoto wasiopenda kufikiri na haina knowledge yoyote zaidi ya mbwembwe!
Dogo leo umeongea point!!