only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Leo wakati akichangia bajeti ya wizara ya mambo ya ndani, mh Sugu amemtaka Afande Kova arudi tena 'studio' kurekodi upya 'filam' yake ya KUTEKWA KWA DK. ULIMBOKA! Hii imenifurahisha sana, cjui prodyuza wake ni nani!
Usalama wa Taifa Studio