Sugu ni play boy??

Kuna watu humu wanabisha tu ili mradi wamebisha ila ukweli ni huyu jamaa ni player unless kama haumjui! vipi na yule mkewe wa Marekani??
 
Sugu amekuwa akiwachezea na kuwatema kina dada zetu wa kitanzania.....je hii ni sawa kama kiongozi wetu kufanya ivyo..??vijana ambao ni washabiki wake wanaiga nini kutoka kwake??

mifano hai

aliwatenganisha watu waliotoka mbali(Jaffarai & Shyrose) kisha akamtelekeza Shy wa watu....


View attachment 67613


baadae amemzalisha bila ndoa mwanadada Faiza.

[h=1]Huyu ndiye mama wa mtoto wa Sugu[/h]
Huyu ndiye mama wa mtoto wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aliyezaliwa hivi karibuni. Jina lake ni Faiza.


View attachment 67614


sasa akisha mtupa na Faiza sijui ataenda kualibu wapi!!

au ndio anafata nyendo za slaa..??

Toa story zako za udaku humu.
 
Achakumtaka sugu kwanguvu hakupendi kauze kijiduka chako cha nguo makumbusho iliulipe mkopo wako pride usije filisiwa kijiduka chako.
 
Sugu amekuwa akiwachezea na kuwatema kina dada zetu wa kitanzania.....je hii ni sawa kama kiongozi wetu kufanya ivyo..??vijana ambao ni washabiki wake wanaiga nini kutoka kwake??

mifano hai

aliwatenganisha watu waliotoka mbali(Jaffarai & Shyrose) kisha akamtelekeza Shy wa watu....


View attachment 67613


baadae amemzalisha bila ndoa mwanadada Faiza.

Huyu ndiye mama wa mtoto wa Sugu


Huyu ndiye mama wa mtoto wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aliyezaliwa hivi karibuni. Jina lake ni Faiza.


View attachment 67614


sasa akisha mtupa na Faiza sijui ataenda kualibu wapi!!

au ndio anafata nyendo za slaa..??
anakuja kwako kaa mkao wa kuliwa
 


Sugu msanii na Faiza msanii ngoma droo..mnasemaje
 

Attachments

  • faiza tumbo.jpg
    faiza tumbo.jpg
    47.8 KB · Views: 130
  • faiza tumbo2.jpg
    faiza tumbo2.jpg
    70.2 KB · Views: 136
  • faidha sigara.jpg
    faidha sigara.jpg
    37.6 KB · Views: 153
  • faiza ally3.jpg
    faiza ally3.jpg
    51.8 KB · Views: 145
Last edited by a moderator:
Sugu amekuwa akiwachezea na kuwatema kina dada zetu wa kitanzania.....je hii ni sawa kama kiongozi wetu kufanya ivyo..??vijana ambao ni washabiki wake wanaiga nini kutoka kwake??

mifano hai

aliwatenganisha watu waliotoka mbali(Jaffarai & Shyrose) kisha akamtelekeza Shy wa watu....


View attachment 67613


baadae amemzalisha bila ndoa mwanadada Faiza.

[h=1]Huyu ndiye mama wa mtoto wa Sugu[/h]
Huyu ndiye mama wa mtoto wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aliyezaliwa hivi karibuni. Jina lake ni Faiza.


View attachment 67614


sasa akisha mtupa na Faiza sijui ataenda kualibu wapi!!

au ndio anafata nyendo za slaa..??

CCM FIKIRIENI NAMNA YA KUKIJENGA CHAMA CHENU,achaneni na uzushi ambao hauwasaidii kitu, na wala haumpunguzii Sugu chochote
 
Sugu amekuwa akiwachezea na kuwatema kina dada zetu wa kitanzania.....je hii ni sawa kama kiongozi wetu kufanya ivyo..??vijana ambao ni washabiki wake wanaiga nini kutoka kwake??

mifano hai

aliwatenganisha watu waliotoka mbali(Jaffarai & Shyrose) kisha akamtelekeza Shy wa watu....


View attachment 67613


baadae amemzalisha bila ndoa mwanadada Faiza.

[h=1]Huyu ndiye mama wa mtoto wa Sugu[/h]
Huyu ndiye mama wa mtoto wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aliyezaliwa hivi karibuni. Jina lake ni Faiza.


View attachment 67614


sasa akisha mtupa na Faiza sijui ataenda kualibu wapi!!

au ndio anafata nyendo za slaa..??

CCM FIKIRIENI NAMNA YA KUKIJENGA CHAMA CHENU,achaneni na uzushi ambao hauwasaidii kitu, na wala haumpunguzii Sugu chochote
 
Mi nlijua una list ya kueleweka,ukikua utaacha ujinga mi mkaka niliyenae ni wa tano sasa je mi ni play girl,u need to be serious wachache wanabahati wa kwanza ndo mke au mume,
 
achane kuchafua majina ya watu bana the guy sijawah kumsikia huwez kuibua point to that extent kwa kweli.... au unamtaka??? me natoka nae sehemu moja i can do something for you
 
Ama kweli play boy,sasa kwa wengine ambao tumeshawapitia zaidi ya 200 na listi bado inaendelea tuitweje..??au kwa kuwa sisi sio mastaa,hebu muacheni Sugu awatumikie wananchi wake waliomchagua hana sifa hiyo unayotaka awe nayo ni wivu tu umekutawala..
 
Back
Top Bottom