Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,066
- 1,047
Sugu amekuwa akiwachezea na kuwatema kina dada zetu wa kitanzania.....je hii ni sawa kama kiongozi wetu kufanya ivyo..??vijana ambao ni washabiki wake wanaiga nini kutoka kwake??
mifano hai
aliwatenganisha watu waliotoka mbali(Jaffarai & Shyrose) kisha akamtelekeza Shy wa watu....
baadae amemzalisha bila ndoa mwanadada Faiza.
[h=1]Huyu ndiye mama wa mtoto wa Sugu[/h]
Huyu ndiye mama wa mtoto wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aliyezaliwa hivi karibuni. Jina lake ni Faiza.
sasa akisha mtupa na Faiza sijui ataenda kualibu wapi!!
au ndio anafata nyendo za slaa..??
mifano hai
aliwatenganisha watu waliotoka mbali(Jaffarai & Shyrose) kisha akamtelekeza Shy wa watu....
baadae amemzalisha bila ndoa mwanadada Faiza.
[h=1]Huyu ndiye mama wa mtoto wa Sugu[/h]
Huyu ndiye mama wa mtoto wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aliyezaliwa hivi karibuni. Jina lake ni Faiza.
sasa akisha mtupa na Faiza sijui ataenda kualibu wapi!!
au ndio anafata nyendo za slaa..??