The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,662
- 2,746
Hiyo gari inakula wese kama Cruiser mkonga.... Mkuu fanya kuiuza nunua Toyota Premio. Full tank Dar to Singida
Maana yake umetembea km 5.3 per litre. Wewe utakua ni tajili wa Tanzanite mkuu hongera bwanaNineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena
Sasa mkuu ulitaka inywe nini, mchemsho wa utumbo?
Mkuu Mshana jr hii BMW ni aina gani?LACHERO ni woga wetu tuu siku hizi tuna mafundi japo si wengi mimi nina BMW mini niliweka liter 20 nikaenda chalinze na kufanya mizunguko ya yangu na kurudi Dar bila taa ya mafuta kuwaka ....imagine 20 litres km zaidi ya 230 I LOVE BMW
Gear box oil nzuri ni ipi..vpi castrolhuu uzi wa siku nyingi ila kingine kwa watumiaji wa subaru zenye turbo oil inayotakiwa kutumika ni synthetic oil ambayo imetengenezwa kwa matumizi ya engine za turbo nilikuwa naweka bp na caltex mara zote nikawa naona bomba la moshi linakuwa jeusi sana kama mkaa na asubuhi gari inakuwa na hard start baada ya kuanza kutumia oil hiyo sijaona tena bomba likiwa jeusi na hakuna tena hardstart.oil hiyo ni quartz 9000 inapatikana kwnye vituo vya total bei usijali sana jali ubora inaokupatia kwenye gari
320td compactMkuu Mshana jr hii BMW ni aina gani?
true aiseeKama ameshindwa ulaji wa mafuta wa subaru, badala ya kulalamika auze anunue bajaji
mkuu, kwani kuna hiyo option ya ku-upgrade kutumia gas huko tz?Mkuu ni kweli ni leader kwenye league lakini ni GAS GUZZULER vile vile, inafaa katika mashindano ya magari au mtu mwenye pesa za kumwaga. Akiona vipi basi aibadirishe/modify iwe inatumia GAS badala ya mafuta, lakini performance yake itakuwa degraded kidogo.
mkuu, kwani kuna hiyo option ya ku-upgrade kutumia gas huko tz?
Mkuu samahan japo huu uzi una 5yrs now ila mm nataka unipe tofauti ya chaser na gx 110 asee nazipenda hizi gar n mm ni mtu wa kusafiri kila mwezi mara 1 dar-songea ipi itanifaaa kuanzia ulaji wa mafuta,speed na uimara n je ina maana subaru inasubir kwa chaser nawasilishaMkuu hapo umedanganya, labda utueleze ni chaser ipi, ulaji mafuta wa chaser gx100 engine beams 2000 vvti, huwezi kuulinganisha na subaru aidha mjini au safarini, subaru inakunywa mafuta sana kulinganisha na hii chaser.
Subaru ina full time 4WD au AWD hivyo ni lazima ile mafuta zaidi na pia ni nzito kuliko chaser na ina 4 inline cylinders engine.
chaser gx100 ni compact na ina six inline cylinders vvti ngine with rear drive only na ni nyepesi kuliko subaru. hivyo chaser ni far more economic than subaru. chaser ikiwa nzima inakwenda hadi 12km/liter in town na hadi 17 km/liter safarini.
hahahhhhhaahahahahUlaji wa mafuta BREVIS hautofautiani na basi YUTONG.
Mnaishi dunia mbili tofauti! Mmoja anahitaji Gari lakini wewe unahitaji chombo cha usafiri!Mwenzio kilomita 350 natumia lita 20 tu na vitz yangu sina presha hata kidogo. Nunua vitz mkuu mambo iko huku.
Je Kluger L ya cc 2900? Nayo inatafuna ila imekaa vizuri mwendo wa mbali mikoani. Jaribu hiyo.mkuu jaribu hata pikipiki!
Ni kweli! Inaleta kutokujiamini na uoga! Haikupi changamoto ya maisha! Inakufanya ujisikie mnyonge!!!Vits inaleta umaskini
Ni kweli! Inaleta kutokujiamini na uoga! Haikupi changamoto ya maisha! Inakufanya ujisikie mnyonge!!!
Watu wananunua Subaru kwa ajili ya super performance yake! Sasa ukiweka engine ya corrola hauitendei haki! Ni vizuri ununue tu corrola toka mwanzo!!baki na body la subaru thn engine ya corrola umemaliza utata
Lakini haiwezi kuwa na heshima zaidi ya harrier au kluger!! Ukiilinganisha na corrola sawa!!Mkuu ushatembea safari ndefu na VW Golf? Subaru itasubiri sana pale by the way subaru kwa gari za Mjapani heshima
What about harrier or kluger.?Mkuu pengine sikueleweka na neno "performance".
Maana yangu ni mikiki ya hii gari, acceleration ni explosive na kwa vile ni turbo-charged gari chache zina weza kuperform vitimbwi vyake.
Pengine katika kula mafuta Chaser inaweza kuwa ina ubora kidogo maana ni gari niliitumia 10 years ago, lakini kwa speed, maneuverability, stability at high speed , I would go for Subaru.