Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 808
je hao wote, matumizi ya condoms ilikuwaje? ni vyema kucheki afya kuliko kuishi na hofu, wakati hujajijua bado, unaweza kufa kwa hofu wakati kumbe hauna. japo umechelewa kuanza sex, lakini umewapita hata wakongwe wa game, ila huo si ujanja, hivi ungekuwa ndo umeweka majina ya vitega uchumi vyako vya maendeleo hapo ungejisikiaje we mtu?