Mimi hapa ni kila kitu huniwezi mimi georgeallen nipe tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi wako nikupe future ya maisha yako.[/QUOTE
Mimi tarehe na mwezi ni 5.7, tiririka juu y future yangu.
Mimi tarehe na mwezi ni 5.7, tiririka juu y future yangu.Mimi hapa ni kila kitu huniwezi mimi georgeallen nipe tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi wako nikupe future ya maisha yako.
Mkuu Dogo TunduMimi tarehe na mwezi ni 5.7, tiririka juu y future yangu.
MziziMkavu, mimi tarehe yangu ni 31 Machi naomba unitumie PM ya maisha yangu ya baadae
Nimezaliwa tarehe 05 feb.naomba nijulishe future yangu.
MziziMkavu, we ni mkali mie ni namba 1 na my wife ni namba 4 na maelezo yahusuyo mchanganuo huo ni ukweli mtupu! Kusema kweli umeniogofya kwani huwa siamini kabisa katika elimu hii na Hasa ya nyota! Dahhh!Mmh could be true ...
Wewe Nyota yako ni ya Punda...
So future yako utakuwa Kuli.
Shimoni Kariakoo panakuhusu.
MziziMkavu mie tar 9 mwezi wa 6 inakuwaje hiyo future!??
|
mimi namba 3 nadate na namba 8=of course is not either best or good match
mmmh!