Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,347
- 50,339
Media zetu ni kama zinasikilizia serikali itacheza kwa style gani, hata mwanzo wa hili janga ni kama walikuwa wanasikilizia hivi mpaka walipoona mambo yamekuwa serious na vifo vimeongezeka wakajifanya kutangaza, nasikia kuna boti la watalii limezama huko Zanzibar ila mpaka sasa kimya hakuna media yoyote imeripoti hiyo habari