Stevene Masele na hadithi zake za Alfu Ulela...."Eti Mpira ni Biashara kubwa siku hizi

manchester

Member
Sep 3, 2010
54
3
Kama mnakumbuka zamani kulikuwa na vitabu vya hadithi za Alfu Ulela zilizokuwa na ukweli na uongo, kwa enzi hizi ni vigumu kuwakuta vijana wa kileo wakivisoma vitabu hivyo ila kwa Mh. Steven Masele anajaribu kutulazimisha kuvisoma vitabu hivyo tena kwa kujaribu kutuhaminisha na ujio wa kina Kluvert na propaganda zake za, " Eti Mpira siku ni biashara kubwa," NAONA KASAHAU PIA KUTUELEZA YA KWAMBA MPIRA SIKU HIZI NI SIASA KUBWA PIA.katika kuwadaa wananchi wa Shinyanga ili waweze kumchagua tena.Kama kweli alikuwa na nia ya kuendeleza vipaji vya wanashinyanga alikuwa wapi muda wote mpaka sasa hivi ndio anaibuka?
 
Sasa hivi Kila mtu ataibuka anakoibukia.........2015 huu ni mwaka wa vituko na viroja Kila Kona ya Nchi.
 
Huyu si Chaguo la Wanashinyanga, asiangaike bali ajiandae kwa kushirikiana na Tume & PoliCCM kama aliyofanya 2010, Kupora Ushindi. Tutaona mengi nadhani Safari hii watatuletea hata Mr. Bin... the comedy guy.
 
Kama mnakumbuka zamani kulikuwa na vitabu vya hadithi za Alfu Ulela zilizokuwa na ukweli na uongo, kwa enzi hizi ni vigumu kuwakuta vijana wa kileo wakivisoma vitabu hivyo ila kwa Mh. Steven Masele anajaribu kutulazimisha kuvisoma vitabu hivyo tena kwa kujaribu kutuhaminisha na ujio wa kina Kluvert na propaganda zake za, " Eti Mpira siku ni biashara kubwa," NAONA KASAHAU PIA KUTUELEZA YA KWAMBA MPIRA SIKU HIZI NI SIASA KUBWA PIA.katika kuwadaa wananchi wa Shinyanga ili waweze kumchagua tena.Kama kweli alikuwa na nia ya kuendeleza vipaji vya wanashinyanga alikuwa wapi muda wote mpaka sasa hivi ndio anaibuka?

Yeye mwenyewe anawaambia wananchi kuhusu biashara ya mpira wakati yeye mwenyewe anategemea wizi wa raslimali za umma. Hivi huyu Masele si ndio yule alishinda kwa kura moja ya mazingaombwe? Hana lolote ni kijana lakini anaamini katika mambo ya kishirikina na maendeleo anayaongelea kama kasuku tu mdomoni wakati hana uwezo wowote kiutendaji. Kati ya mpira na madini ni kipi ni biashara kubwa? Akiwa kwenye wizara hiyo ni mikataba gani ya madini iliyobadilishwa kuleta tija kwa wananchi wote?
 
Huyo Dogo bora wangemkunja na kumpiga miti vizuri wakati ule alipokuwa anaiba kura... MAGANZO pamechokaa pamoja na Pink Diamond yenye kutamba kwenye soko la Dunia ...
Kama mnakumbuka zamani kulikuwa na vitabu vya hadithi za Alfu Ulela zilizokuwa na ukweli na uongo, kwa enzi hizi ni vigumu kuwakuta vijana wa kileo wakivisoma vitabu hivyo ila kwa Mh. Steven Masele anajaribu kutulazimisha kuvisoma vitabu hivyo tena kwa kujaribu kutuhaminisha na ujio wa kina Kluvert na propaganda zake za, " Eti Mpira siku ni biashara kubwa," NAONA KASAHAU PIA KUTUELEZA YA KWAMBA MPIRA SIKU HIZI NI SIASA KUBWA PIA.katika kuwadaa wananchi wa Shinyanga ili waweze kumchagua tena.Kama kweli alikuwa na nia ya kuendeleza vipaji vya wanashinyanga alikuwa wapi muda wote mpaka sasa hivi ndio anaibuka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom