Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,065
Ujumbe kutoka kwa Michuzi. Analalama kuwa kuna watu ni kigeugeu cha kutupwa. Mashaka mwamshambulia kuwa anajifanya Koungea English tu na Kanumba sasa anachekwa kuwa hafahamu Kiingereza.
Nyani, kweli Mashaka mfupi khaa, kama Chiluba vile na anajipamba si kawaida. Na ile miwani yake na Kipara kama cha R. Kelly, loohh.
Nyani, kweli Mashaka mfupi khaa, kama Chiluba vile na anajipamba si kawaida. Na ile miwani yake na Kipara kama cha R. Kelly, loohh.