one wisow
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,216
- 1,795
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Tanga na Nyika.
Wakuu Stendi ya Kondoa (BICHA) ina hali mbaya sana. Nimetembea maeneo mengi hapa Tz, ila sijaona stendi iliyo na hadhi ya chini kama hii ya Kondoa.
Stendi ni ndogo, vumbi kali linalochafua hadi ndevu, huduma za kijamii ni haba. Sijui wahusika kwanini hamchukui hatua kurekebisha hili swala.
Hata kibanda cha Tigo Pesa ni vya kutafuta kwa tochi, very local.
Cha kusikitisha zaidi, stendi ipo kilometa 3 kutoka Kondoa Mjini. Yaani ukishuka, uchukue bodaboda kwa elfu 2 kwenda mjini.
Uzi tayari.View attachment 2686602
View attachment 2686603
View attachment 2686604
Wakuu Stendi ya Kondoa (BICHA) ina hali mbaya sana. Nimetembea maeneo mengi hapa Tz, ila sijaona stendi iliyo na hadhi ya chini kama hii ya Kondoa.
Stendi ni ndogo, vumbi kali linalochafua hadi ndevu, huduma za kijamii ni haba. Sijui wahusika kwanini hamchukui hatua kurekebisha hili swala.
Hata kibanda cha Tigo Pesa ni vya kutafuta kwa tochi, very local.
Cha kusikitisha zaidi, stendi ipo kilometa 3 kutoka Kondoa Mjini. Yaani ukishuka, uchukue bodaboda kwa elfu 2 kwenda mjini.
Uzi tayari.View attachment 2686602
View attachment 2686603
View attachment 2686604