Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
Nipo home sasa gafla nabadili chanel naiona eatv hawajaiweka ile alama ya $ iko plain kama Tbc Nyinyiem.
Ni hiyo tu wajameni
Ni hiyo tu wajameni
Mbona hujaeleweka mkuu?
Kwa hiyo sasa unaweza kuitazama(inaonekana) au wameondoa tu hako $ sign basi?
Kwangu wamebana niki tune naona No service hivi kwa nn IPP anasita sita kuingia kwenye king'amuzi?