Ifikapo 31 December saa sita Ucku TV zote hapa Africa Mashariki zitazimwa na kuhamishiwa kwenye Vingamuzi kama vile TIG agape ,Startime TBC etc.Hivyo ni sawa kuwa hiyo Tarehe 20 june kuwa hivyo kwani awana jinsi lazima waingie tu kwenye mfumo wa Digital
kwani satellite dish sio digital?
kwani satellite dish sio digital?
si rahisi kuzima TV zote labda sema TV za hapa bongo maana nyingine zinatumia satellite kurusha matangazo yake na huu mradi wa ving'amuzi siyo world wide
nimeenda jana ofisi za startimes arusha nkawaulizia kuhusu kupata local channels kama itv jamaa wamenambia kuanzia tar 20 mwezi huu chanel zote zitaonekana ktk king'amuzi.
Mi nimelipia kifushi cha elfu 18 ili nione mpira wizi mtupu mpaka sasa ni no signal
Ifikapo 31 December saa sita Ucku TV zote hapa Africa Mashariki zitazimwa na kuhamishiwa kwenye Vingamuzi kama vile TIG agape ,Startime TBC etc.Hivyo ni sawa kuwa hiyo Tarehe 20 june kuwa hivyo kwani awana jinsi lazima waingie tu kwenye mfumo wa Digital
Mi nimelipia kifushi cha elfu 18 ili nione mpira wizi mtupu mpaka sasa ni NO SIGNAL