Stars vs Moroco in JF

Mpira kwisha!

Now it's time for the excuses. The same ones they use every year!
 
ila tumejitahidi yaani 3-1..nafikiri tuhamie kwenye bongo muvi labda tunaweza tukatoka.. mweh!
 
sasa imefika wakati wa Poulsen kuachia mikoba maana hakuna alichofanya tangu maximo aondoke zaidi ya kufungwa tu , kushinda kwake kumekuwa ni kwa bahati sana.....hana jipya
 
Ninakuwa mnyoofu wa moyo katika kuliongelea gemu la leo maana kinachonisukuma ni uzalendo tu ila si soka!

Timu yetu imekuwa nzuri kiufundi, tatizo lake ni hamasa tu!
Tunahitaji mtu mhamasishaji kama maximo au julio na polsen abaki kuwa mtaalamu wa ufundi tu!

Kuifunga Moroco leo ni maajaliwa ya muumba hata tungefukia binadamu pale Markhesh kipigo bado kitatuaandama tu!

Mwenye ratiba sahihi ya mechi atujuzi tuonyeshe uzalendo wetu!!!

Umenena vyema!
 
Huyu Poulsen si angechukua wachezaji ama timu nzima ya JKT Oljoro kuliko wachezaji wa timu mbali mbali wasiojuana namna yao ya uchezaji kama Spain kwa Barca vile
 
Watu wana SIGN OUT tartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu tehtehteh! Taifa stars Presha Simba Sports Club Presha LiverpoolFC Presha Bora niwache kutizama mipira. Timu za East Africa Presha.
 
Ingekuwa Taifa washabiki wa Simba wangehesabu pasi
mpaka wangechoka 1................................164................176
 
Heko taifa stars!Nawapongeza kwa kutofungwa magoli 20! Kwa kweli mmejitahidi mana kwa hali ilivokuwa uwanjani,mlikuwa wa kuchezea hata bao 22! Am proud of u guys heheh
 
Back
Top Bottom