Na BIGBROTHER MkuuMpira umekwisha stars kalala 3 - 1
Naona mpira sio fani, tujaribu riadha..
Anyway tulipoteza haya mashindano kwenye zile game za nyumbani
OOhh what would have been..!!!
Ninakuwa mnyoofu wa moyo katika kuliongelea gemu la leo maana kinachonisukuma ni uzalendo tu ila si soka!
Timu yetu imekuwa nzuri kiufundi, tatizo lake ni hamasa tu!
Tunahitaji mtu mhamasishaji kama maximo au julio na polsen abaki kuwa mtaalamu wa ufundi tu!
Kuifunga Moroco leo ni maajaliwa ya muumba hata tungefukia binadamu pale Markhesh kipigo bado kitatuaandama tu!
Mwenye ratiba sahihi ya mechi atujuzi tuonyeshe uzalendo wetu!!!
mission failed!game over.
Mpira kwisha!
Now it's time for the excuses. The same ones they use every year!
Kwenye Kombe gani? au World Cup?not bad! Tunaungana na Nigeria, Cameroon, S.africa, Egt, Ugnda ETC
Mi sio Mtanzania usinijumuishe please!There are currently 263 users browsing this thread. (100 members and 163 guests)
Tushabanjuliwa!