Good Guy JF-Expert Member Oct 24, 2010 3,809 1,406 Jun 4, 2012 #21 ،،Beauty lies in the hands of th beer holder،، Shakespeare
mathematics JF-Expert Member Feb 21, 2012 3,323 1,105 Jun 6, 2012 #22 Kuna watu wanakunywa beer kama vile staili ya kujionyesha wana hela, Lakini nyumbani watoto hawana chakula! Acha kuja beer wewe wa kuja, nenda kawanunulie watoto unga na madaftari ya shule!
Kuna watu wanakunywa beer kama vile staili ya kujionyesha wana hela, Lakini nyumbani watoto hawana chakula! Acha kuja beer wewe wa kuja, nenda kawanunulie watoto unga na madaftari ya shule!
Good Guy JF-Expert Member Oct 24, 2010 3,809 1,406 Jun 6, 2012 #23 JIRAN-Sasa rafiki nisaidie nimekwama kifedha,familia sina hela ya kuwalisha. Nipatie hela kidogo yaani nimebakiza elfu30 ya bia tu duh pombe noma
JIRAN-Sasa rafiki nisaidie nimekwama kifedha,familia sina hela ya kuwalisha. Nipatie hela kidogo yaani nimebakiza elfu30 ya bia tu duh pombe noma
D Doreen22 JF-Expert Member Jun 2, 2012 470 80 Jun 7, 2012 #25 Zikiisha, mlale kituo cha basi, kukikucha muwe mnapiga debe eeh! Junior. Cux said: uza nyumba tukaweke heshima bar... Nonstop, bata mpka mwsho Click to expand...
Zikiisha, mlale kituo cha basi, kukikucha muwe mnapiga debe eeh! Junior. Cux said: uza nyumba tukaweke heshima bar... Nonstop, bata mpka mwsho Click to expand...