Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,084
- 93,908
Hakuna namna
Mbele kwa mbeleeeeeeeee!!!Hatunywi sumu
Hatujinyogiiiiiiii
mdololo wa uchumiKampuni kongwe ya habari nchini, Sahara Media Group itapunguza wafanyakazi wake takriban 100. Hiyo ni kwa mujibu wa taarifa iliyoitoa kwa wafanyakazi, Jumatatu hii.
sahara-media-group-5
Mwenyekiti Mtendaji wa Sahara Media Group, Dr Anthony Diallo
Imesema inachukua uamuzi huo kutokana na kuhamisha matangazo yake kutoka analojia kwenda dijitali na kwamba nia yake ni kupunguza gharama za uzalishaji. Watakaoathirika ni pamoja na watangazaji, watayarishaji wa vipindi na wafanyakazi wengine.
Itatumia takriban vinane kupunguza wafanyakazi ikiwemo utendaji, elimu, umri, nidhamu na vingine na kutumia kipindi cha miezi mitatu kukamilisha mchakato huo.
Wakati huo huo Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni hiyo, Dr Anthony Diallo, amekanusha tetesi zilizoenea kuwa kampuni hiyo imenunuliwa na kampuni ya Nation Media Group baada ya kushindwa kulipa madeni yake.
Madeni hayo ni pamoja na KCB inayodai shilingi bilioni 28, deni la benki ya Mkombozi, malimbikizo ya mishahara na kodi ya TRA shilingi bilioni 4.
“Tuna asset net value ya zaidi ya bilioni 110. Tuna mkopo kama kampuni na benki ya KCB pekee na hatuna deni kama kampuni huko Mkombozi. Kuuza media company kubwa kama yetu unahitaji kibali cha TCRA,” alijibu Diallo,.
“Tunapunguza wafanyakazi kutokana na uwekezaji mkubwa kwenye automation na kutegemea ununuzi wa vipindi badala ya kuvitengeneza wenyewe, ubora wa vipindi vya kutengenezwa na wengine ni bora zaidi.”
Hadi sasa kampuni hiyo imeajiri wafanyakazi zaidi ya 400.
Source: Bongo5
Hahaaahaaa nimecheka mbavu zangu huwa nikisikia hako katangazo nasema hawa nao dalili ya kuisoma wanakazania Decoder duhhhWamebaki kutangaza Continental Decoder tu
Mzee wa Monduli alituambia tuchague kati ya mlo mmoja na milo mitatu ajabu waliowengi walichagua mlo mmoja.. Namba inasomeka haswaaaaHahaaahaaa nimecheka mbavu zangu huwa nikisikia hako katangazo nasema hawa nao dalili ya kuisoma wanakazania Decoder duhhh
Form four leaversTuta wamiss sana akina Isack Msumba
Waje, wajifunze kuvuta kamba yenye ndoo ya udongo kwa kuchimba vyooStar TV kwenye kampeni walikua na kiherehere mno sasa naona wenyewe ndo wanaisoma number. Nawahurumia hao wafanyakazi 100, karibu ni kitaa muisome number vizuri
wameipenda wenyewe tiintiiiii............mbele kwa mbeleeee
Umenikumbusha mbali sana star TV walifanya vtu vya hovyo kwenye uchaguzi, yani acha aisome number tuTena hawa walidiriki kureport thihaka za Msukuma kule chato na Nape kule Iringa..Tuisome no tu hamna namna..
Hawawezi wale wanamisingi mizuri ya Kazi, sio bendera kifuata upepoBado IPP Media nao wanakuja
Haaahaaa duu huruma lakini ndio dawa yaoWamebaki kutangaza Continental Decoder tu
sasa ndio waanze kujua maana ya kuisoma,,,eeeh wakalime nyanya na kuanzisha viwanda vya usindikaji nyambafu kabisa
Akifunga kampeni nadhani ilikuwa mwanza, Mkemia aliwashukuru sahara media kwa kazi kubwa na aliahidi 'nitakusaidia'Doh... maskini... hiki kituo kilikuwa bize sana na kampeni za prezidaa. Nadhani atawakumbuka awaajiri kwenye sirikali yake tukufu isiyojaribiwa.