Startv ni wapuuz tu
Kweli kabisa Mkuu nilikuwa mtazamaji wa Star Tv lakini nimeacha siku nyingi sana na sitaiangalia tena hata baada ya uchaguzi na nitawamisi waandishi makini kama Dotto Bulendu ni jamaa makini sana nadhani Star Tv inamdhalilisha sana kipindi hiki maana imeonesha wazi ni chombo cha kifisadi na kijingajinga hiviHivi sasa kuna watu wanaangalia star TV???? Huko tunangalia futuhi na BBC saa 3 ucku mengine unawachia wao inayowahusu tutarejea huko baada ya uchaguzi
Kuisha
Hivi sasa kuna watu wanaangalia star TV???? Huko tunangalia futuhi na BBC saa 3 ucku mengine unawachia wao inayowahusu tutarejea huko baada ya uchaguzi
Kuisha