Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,121
- 94,380
Nilikua nasikiliza Radio One asubuhi hii,nikasikia eti ile terminal ya mabasi pale Mwenge inahamishiwa Makumbusho...
Eti moja ya sababu ni kwamba wafanyabiashara wanaopanga bidhaa chini na mezani nyakati za jioni, wanasababisha kituo kuwa finyu.
Hivyo suluisho ni kuhamisha kituo chote wakiwemo na wafanyabiashara kwenda Makumbusho.
Je hii ni sawa? mbona hawa watunga sheria wanataka kututesa.
Eti moja ya sababu ni kwamba wafanyabiashara wanaopanga bidhaa chini na mezani nyakati za jioni, wanasababisha kituo kuwa finyu.
Hivyo suluisho ni kuhamisha kituo chote wakiwemo na wafanyabiashara kwenda Makumbusho.
Je hii ni sawa? mbona hawa watunga sheria wanataka kututesa.