Stanbic bank tanzania kunani...

Nakumbuka kuna mwaka vijana pale mbeya branch walipiga
Ilikuwa Barclays sasa naona Stanbic nao wanapigwa.
 
sIO LAZIMA KUONGELEA KITU USICHOKIJUA.......OTHERWISE UTAPOTOSHA JAMII.....
 
Usiwe mwepesi wa kuhukumu kabla ya kufanya tafiti. Na pia magezati mengi sio chanzo sahihi cha habari ambazo zinakuwa na mlengo hasi kwa wale wenye maslai mapana ya kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Taarifa nyingi za vyombo vya habari huwa zinahaririwa kabla ya kutolewa. Kumbuka vyombo vya habari ni zana kuu ya kusambaza propaganda kwa kuwalisha wananchi chakula (taarifa) unachotaka wewe na jinsi unavyotaka.

Mimi nilianza zisikia hizi habari kwenye baadhi ya vijiwe vyetu na nimezisoma tena kwenye gazeti moja la uchunguzi litokalo mara moja kwa wiki. Tafuta gazeti la ThisDay la tarehe 3-9 Juni 2013 toleo namba 1325, mchele wote umemwagwa humo.
 
kumekuwa kunatokea wizi mara nyingi, moshi kama 300 m imesepa na kusababisha meneja kufukuzwa na two other emloyees, mwanza pia wizi na mbeya, ila kubwa kuliko ni pale walipoanzisha usecured loans kariakoo, watu wakachukua mikopo hewa wakaiservice kidogo bank ikaona ina faida mpaka kufungua branch ya pili kariakoo, walipostuka 18 bill haipo, south africans wanataka kufanya overhaul ya bank, in march wamefanyia senior oficers wote iq test wajue je are they right for positions or ni favor, tutaona wengi watakuwa demoted na wengine tranfered.

hahahaha like seriously..???
iq tests..????
 
yote tisa kuna kibosile wa hr yeye kazi yake kutembea na mademu kuwapa kazi anawachukia aliowakuta anajifanya kaagizwa awachishe kazi wote keshawalamba watu wa HR wawili na aliyekuwa payrool kahamishwa kaletwa first lady toka operations teh teh salamu zako kazinja utawalamba sana
 
Du Kazinja mkuu wa HR ndo anakula ile toto ya Aboud Jumbe? Faiza Jumbe Mwache afaidi maana ile benki inaongoza kwa machangudoa
 
Back
Top Bottom