Jamani naombeni msaada kuna wadogo zangu wanasumbuliwa matokeo yao pale Chuoni , wao wanasema waliambiwa wana Sup somo moja , wakafanya wakafaulu baada ya hapo wakataka kuchukua Academic Transcript zao , wanaambiwa sasa mbali na hiyo sup kuna semister ya nyuma kabisa mwingine somo moja mwingine mawili , sasa mimi niliposoma (UDSM) walikuwa wakiweka matokeo ndio hayo hayo na hakuna baadae kusema tulikosea bado somo mmoja au mawili bado hujaclear , this is very awkward .
I dont how to help these guys i need ur advice please !
I dont how to help these guys i need ur advice please !