Wadau,naomba anaeweza kunisaidia kupata mtu/shirika/tahasisi itakayonisaidia malipo ya masomo yangu nayotegemea kuanza mwezi october mwaka huu....nimepata admission ya Mzumbe Dsm campus (MPA)lakini kifedha nimekwama kabisa na ninaitaji sana kusoma ili nitimize ndoto zangu..
Tuwasiliane kwa PM au ata hapahapa jamvini...
Thanks!
Tuwasiliane kwa PM au ata hapahapa jamvini...
Thanks!