Spika Tulia: Suala la "ku-overinvoice" bei ya ndege halimo kwenye Ripoti ya CAG, ni Rais mwenyewe ndiye aliliona, tusichanganye mambo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,997
142,016
Spika wa Bunge Dr Tulia ametoa ufafanuzi na Elimu ya namna Ripoti ya CAG inavyoshughulikiwa bungeni

1. Ripoti ya CAG inakuwa public mara itakapowasilishwa bungeni kwa mujibu wa sheria

2. Ikishawasilishwa itapelekwa kwenye Kamati za kisekta ambako waliotajwa kwenye Ripoti wataitwa na Bunge na kuhojiwa

3. CAG ni jicho tu la Bunge la kutuonesha kilichotokea lakini hana Maamuzi yoyote Wenye Maamuzi ya mwisho ni Bunge

4. Rais Samia baada ya kukabidhiwa Ripoti na CAG aliagiza Mawaziri na Wataalamu wao wajiandae kuja kujieleza bungeni kwa niaba ya Serikali

5. Swala la kuongezwa Bei kwenye Ndege ya mizigo halimo kwenye Ripoti ya CAG ni Rais mwenyewe aliliona na ndio sababu aliagiza palepale waliohusika na kuongezeka kwa Bei Hiyo Watupishe

Source East Africa Radio

Mlale Unono!
 
Asante Tulia, kuna mwaka nilibishana sana na wale wazee wa kuchambua ripoti ya CAG mitandaoni.

Nikawaambia hata Asad alikosea kuongea ongea kwenye vyombo vya habari, sio kila kilichopo kwenye ripoti ni 'upigaji'. Asad alivuka mipaka ya mamlaka yake, na JPM hakumkopesha nayeye akavuka mipaka.
 
Spika wa Bunge Dr Tulia ametoa ufafanuzi na Elimu ya namna Ripoti ya CAG inavyoshughulikiwa bungeni

1. Ripoti ya CAG inakuwa public mara itakapowasilishwa bungeni kwa mujibu wa sheria

2. Ikishawasilishwa itapelekwa kwenye Kamati za kisekta ambako waliotajwa kwenye Ripoti wataitwa na Bunge na kuhojiwa

3. CAG ni jicho tu la Bunge la kutuonesha kilichotokea lakini hana Maamuzi yoyote Wenye Maamuzi ya mwisho ni Bunge

4. Rais Samia baada ya kukabidhiwa Ripoti na CAG aliagiza Mawaziri na Wataalamu wao wajiandae kuja kujieleza bungeni kwa niaba ya Serikali

5. Swala la kuongezwa Bei kwenye Ndege ya mizigo halimo kwenye Ripoti ya CAG ni Rais mwenyewe aliliona na ndio sababu aliagiza palepale waliohusika na kuongezeka kwa Bei Hiyo Watupishe

Source East Africa Radio

Mlale Unono!
Huyu spika ni jipu jingine.
Hata taratibu zake kuwa mbunge na kupewa uspika ni giza nene.
 
Spika wa Bunge Dr Tulia ametoa ufafanuzi na Elimu ya namna Ripoti ya CAG inavyoshughulikiwa bungeni

1. Ripoti ya CAG inakuwa public mara itakapowasilishwa bungeni kwa mujibu wa sheria

2. Ikishawasilishwa itapelekwa kwenye Kamati za kisekta ambako waliotajwa kwenye Ripoti wataitwa na Bunge na kuhojiwa

3. CAG ni jicho tu la Bunge la kutuonesha kilichotokea lakini hana Maamuzi yoyote Wenye Maamuzi ya mwisho ni Bunge

4. Rais Samia baada ya kukabidhiwa Ripoti na CAG aliagiza Mawaziri na Wataalamu wao wajiandae kuja kujieleza bungeni kwa niaba ya Serikali

5. Swala la kuongezwa Bei kwenye Ndege ya mizigo halimo kwenye Ripoti ya CAG ni Rais mwenyewe aliliona na ndio sababu aliagiza palepale waliohusika na kuongezeka kwa Bei Hiyo Watupishe

Source East Africa Radio

Mlale Unono!
Huyu spika ni jipu jingine.
Hata taratibu zake kuwa mbunge na kupewa uspika ni giza nene.
 
5. Swala la kuongezwa Bei kwenye Ndege ya mizigo halimo kwenye Ripoti ya CAG ni Rais mwenyewe aliliona na ndio sababu aliagiza palepale waliohusika na kuongezeka kwa Bei Hiyo Watupishe
Issue sio swala lipo au halipo issue ni nafasi ya bunge kutete maslahi ya walipa kodi.

Mhe. Spika walipaswa kuomba serikali ifafanue ilo swala ili wao kama wawakilishi washughulike na wezi hao
 
Spika wa Bunge Dr Tulia ametoa ufafanuzi na Elimu ya namna Ripoti ya CAG inavyoshughulikiwa bungeni

1. Ripoti ya CAG inakuwa public mara itakapowasilishwa bungeni kwa mujibu wa sheria

2. Ikishawasilishwa itapelekwa kwenye Kamati za kisekta ambako waliotajwa kwenye Ripoti wataitwa na Bunge na kuhojiwa

3. CAG ni jicho tu la Bunge la kutuonesha kilichotokea lakini hana Maamuzi yoyote Wenye Maamuzi ya mwisho ni Bunge

4. Rais Samia baada ya kukabidhiwa Ripoti na CAG aliagiza Mawaziri na Wataalamu wao wajiandae kuja kujieleza bungeni kwa niaba ya Serikali

5. Swala la kuongezwa Bei kwenye Ndege ya mizigo halimo kwenye Ripoti ya CAG ni Rais mwenyewe aliliona na ndio sababu aliagiza palepale waliohusika na kuongezeka kwa Bei Hiyo Watupishe

Source East Africa Radio

Mlale Unono!
GAG alitoa picha ya jumla tu kile kitokanacho na uchunguzi wake wa kihasibu. Mashaka yaendanayo na kasoro alizoziorodhesha zinaweza kutolewa maelezo na Mashaka hayo kuondolewa.

Ni kazi za Bunge kupitia kamati zake za kisekta kujiridhisha kama kama hakuna madudu yaliyofanyika, ama kama yapo wahusika waweze kuchukuliwa hatua.
 
Back
Top Bottom