Hennes kolon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 673
- 1,287
Binafsi sijamuelewa Mhe. Spika anaposema kilichofanywa na waheshimiwa wabunge ni kupitisha makubaliano tu Kati ya serikali na DP WORLD, hivi mle ndani ya mkataba si ndo makubaliano yenyewe!?
Na Kama makubaliano sio mkataba kwa nini wapoteze muda kujadili makubaliano ambayo kwa tafsiri ya Mhe. sio mkataba wenyewe!?
Halafu ilikuwa na haja gani Rais kuweka signature kwenye makubaliano ambayo kimsingi (kwa tafsiri ya Mhe. spika)sio mkataba halisi?
wataalamu hebu tusaidieni darasa la Saba , tafsiri ya mh. spika.
Na Kama makubaliano sio mkataba kwa nini wapoteze muda kujadili makubaliano ambayo kwa tafsiri ya Mhe. sio mkataba wenyewe!?
Halafu ilikuwa na haja gani Rais kuweka signature kwenye makubaliano ambayo kimsingi (kwa tafsiri ya Mhe. spika)sio mkataba halisi?
wataalamu hebu tusaidieni darasa la Saba , tafsiri ya mh. spika.