Hizi hoteli wanazofikia zinaweza pia kuwa dili la wafanya biashara wenye fungate na serikali,wanajihakikishia wateja ambao ni viongozi wa serikali,hapakosi maslahi binafsi hapoNa bado hapo ndio wataelewa sasa kwanini wananchi hatukupenda wajiuzie nyumba za serikali, mtakumbuka Makamba alipoteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar alifikia hotelini hadi akaibiwa Redio yake, laiti nyumba za serikali zingekuwepo hii dhahama kwa wnanchi wala tusingeijua.