GJ Mwanakatwe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2011
- 241
- 27
Fedha gani ameokoa? Kwanini asingekaa palepale alipokuwa anakaa kabla ya kuwa spika badala yake akahamia hotelini? Hivi kweli zile nyumba za serikali ziliuzwa na magufuli? Hapana, yeye alitekeleza maamuzi ya baraza la mawaziri chini ya rais, maamuzi ya pamoja.Hivyo sio sawa kumtupia lawama hizo magufuli, bali wote waliopitisha uamuzi huo. Kwamba magufuli aliwauzia nyumba hizo hawara zake sio tatizo, kwa kuwa hata angemuuzia hawala yako ni sawa tu kwa kuwa suala hapa ni nyumba kuuzwa kutoka mikononi mwa serikali nani alitoa maamuzi hayo?