ccm wao wanasema wako juu ya mamlaka ya Mungu mkuu huoni wanaua, wanaiba hela, wanafanya wanavyotaka kwa kifupi hawa jamaa wako juu sana ila kila kitu kina mwanzo na mwisho
Ewaa,kwa ufupi ni kwamba hawamhitaji Mungu,Ni wajenzi huru,Freebuilders or Freemasons au labda mawakala wao.