Spika Makinda, athibitisha 'Muswada Umeondolewa'

Ndio maana yake, tatizo ninaloliona mimi, kwenye Chadema, kuna wanachama, wafuasi, mashabiki na manazi wa Chadema, hivyo hata baada ya serikali kukubali matokeo na kuuondoa, manazi wa Chadema bado watashinikiza wanataka maandamano yao yawe pale pale!.
Pasco madai ya wana CDM ni mengi, si hilo la muswada tuu!!!!!

Kwanza jamii ya Watanzania wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa wakati kuna mafisadi wanakula na kusaza na watoto wao wanasoma Ulaya. Afya za watu ni taabu saana, hakuna madawa na dispensary hakuna kamazipo ziko mbali na wananchi. Shule hivi tunavyo andika ni taabu tupu hakuna walimu, watoto bado wanakaa chini, labaratory hakuna. Mwaka huu tunategemea failier kibao tena. Mfumo wa uchumi ni ovyo, bei za vitu zinazidi kupaajuu!!!!!! Mfisadi bado wanatawala njia kuu za uchumi, RA anadai hizo Shs 94,000,000,000/= ninety four billion kulipwa na TANESCO!!!!!!!


Madai ya CDM bado ni mengi saana, katiba tuachiwe wananchi tuamue ni katiba gani iliyo bora kwa taifa letu, tusipangiwe na mafisadi SISIEMU!!!!!!! Pasco nadhani bila shaka kama ni mzalendo wa TZ umenielewa vizuri, ufikiri kwa kichwa sio miguu uweze kukomboa taifa lako, wewe ni kijana.
 
Kwa Mtazamo wangu Maandamano bado ni muhimu sana, na hii ni kwa sababu zifuatazo;

Wameondoa Muswada sawa, wataurekebisha au utabadilishwa? maana muswada wenyewe ulikuwa batili. Maana watakaa kimya then tukiuliza watasema tulileta muswada mkaukataa!

Kwenda kuwaelimisha wananchi juu ya nini kinatakiwa kufanyika, na wajibu wa wananchi juu ya kupatikana kwa katiba mpya nchini.

Kuwashukuru wananchi kwa kukiunga mkono chadema wakati wa uchaguzi na wakati huu wa kupinga muswada potofu.

Kukijenga Chama na kuvuta wanachama wapya, maana hiki sio chama cha msimu.

Kuwakumbusha wananchi wasibweteka na gilba za CCM hususani katika mambo yaliyotokea hivi karibuni, maisha bado ni magumu na ufisadi bado upo.

hizo na nyingine ni sababu tosha kwa maandano kuendelea, ila hata kama yasitishwa viongozi wasikae sana bila maandamano na haya yanatakiwa yawe yanafanyika kila baada ya miezi mitatu au minne kila mwaka, itasaidia kukijenga chama zaidi na zaidi, labda serikali ing'atuke na kuunda serikali ya mpito.
 
Maandamano yawepo yasiwepo, hii turn ya muswada wa katiba ni purely juhudi za CHADEMA, ni kupitia CDM, CCM ili-bow kuwa kuna problem kwenye katiba, and again kupitia CDM wameona ni muswada mbofu hamna

we mchaga ni mbovu au mbofu naomba uende jukwaa la lugha wakusaidie poa mkuu
 
Ndio maana yake, tatizo ninaloliona mimi, kwenye Chadema, kuna wanachama, wafuasi, mashabiki na manazi wa Chadema, hivyo hata baada ya serikali kukubali matokeo na kuuondoa, manazi wa Chadema bado watashinikiza wanataka maandamano yao yawe pale pale!.
Pasco ni muhimu hao CCM kwa machanga hawajambo mkuu, ni bora watu waingie barabarani ili uelewa wa watu uongezeke. Tusikie watu wanasema nini hususani viongozi makini wa kutoka upinzani, CCM wamebaki kutuuza tu, hivi wewe unaweza kujenga imani na AG Werema kwa kuleta muswada usio na machoi kiasi kile?
 
Wanabodi,

Ile sintofahamu ya Muswada imemalizika,
Wenye access watch TBC Live Now!.

Spika ametangaza Kamati ya Sheria na Katiba imeomba marekebisho kadhaa ikiwemo kuletwa kwa lugha ya Kiswahili, na kutangazwa kwenye magazeti ili iwafikie Watanzania wengi.

Wabunge wapiga vigelegele kwa kuimba CCM..CCM...as if ni CCM ndio wameshinikiza mabadiliko hayo.

Spika ameomba Watanzania tudumishe mila za kujadili kwa utulivu na amani

Kuondolewa kwa Muswada huu, ni uthibitisho mwingine kwa JF iko juu kwenye kupata breaking news za jikoni, na JF ni very reliable source of information.

Viva JF.

Pasco.

Hayo marekebisho ya muswada yanaenda kufanywa na waziri yule yule, mwanasheria mkuu yule yule na wataalamu wale wale? Kwani hiyo kamati ya Katiba ya Bunge isingeweza kuanda muswada mbadala?
 
I just commented;

Kuna trend naiona kwa sasa, vitu wanavyopanga kufanyia maandamano CDM vinafanyiwa sarakasi haraka. Ni vema waendelee kuwa wanafanya hivi, ni vema kwa ustawi wa taifa letu.

Kwa mara ya kwanza, nawapongeza CDM kwa kusababisha serikali kuwa inachukua maamuzi haraka

Yaani wabunge wa CCM wanauzi mpaka basi tu... yamekaa kaa tu bungeni, miaka nenda rudi. Kazi yao kupiga makofi na vigelegele. Maswali ya kulikwamua Taifa letu wala hayaulizi. Wapinzani wakichachamaa kuhoji matumizi mabaya ya madaraka na mali ya umma yanakuja juu!! Linchi letu limedumaa kutokana na uzebwezebwe wao.

Saa hivi wameamua kuwa reactionary. Jumping on the bandwagon. I doubt if half the members have even read their 2010 election manifesto. With all the resources at their disposal, kwanini walitayarisha muswada wa kipumbavu namna hiyo in first place?! Hivi hawa watu ni Watanzania kweli hawa??!! Wanakera ati!
 
Ndio maana yake, tatizo ninaloliona mimi, kwenye Chadema, kuna wanachama, wafuasi, mashabiki na manazi wa Chadema, hivyo hata baada ya serikali kukubali matokeo na kuuondoa, manazi wa Chadema bado watashinikiza wanataka maandamano yao yawe pale pale!.

Heshima kwako Pasco.

Mkuu maandamano yanatakiwa yawepo kama kawaida theme ibadilishwe yajikite zaidi kupinga serekali ya CCM kutugawa kwa misingi ya ukabila na dini.Kuwaandaa watanganyika na ujio wa katiba mpya,wananchi lazima washirikishwe kuanzia hatua ya kwanza hadi mwisho.
 
Edson Z. M, ni kweli huu ni ushindi kwa Watanzania wote na ndio umuhimu wa kuwa na upinzani wa kweli, ila pia upinzani wa kweli bila umoja wa wapinzani is nothing, kweli hili la huu muswada, vyama vyote vya upinzani vimepaza kauli moja, 'uondolewe' na serikali imepiga magoti, imeuondoa. Kama tangu uchaguzi wa 2010, vyama vyote vingekubaliana CCM iondoke, CCM, ingeondoka!.

Kwa vile 2015 sio mbali, opposition wasipokubali kusimama pamoja dhidi ya nyoka mwenye gamba jipya, 2015, hadith itakuwa ile ile!.

Pasco.
Sasa hapa tunaingia phase 2 ambayo ndio inabidi kuwabana hasa hawa jamaa vinginevyo tutakuwa tumefanya kazi bure
 
Wanabodi,

Ile sintofahamu ya Muswada imemalizika,
Wenye access watch TBC Live Now!.

Spika ametangaza Kamati ya Sheria na Katiba imeomba marekebisho kadhaa ikiwemo kuletwa kwa lugha ya Kiswahili, na kutangazwa kwenye magazeti ili iwafikie Watanzania wengi.

Wabunge wapiga vigelegele kwa kuimba CCM..CCM...as if ni CCM ndio wameshinikiza mabadiliko hayo.

Spika ameomba Watanzania tudumishe mila za kujadili kwa utulivu na amani

Kuondolewa kwa Muswada huu, ni uthibitisho mwingine kwa JF iko juu kwenye kupata breaking news za jikoni, na JF ni very reliable source of information.

Viva JF.

Pasco.

Wataelewa tu
 
Mh. JK na serikali yake hawawezi jaribu kuruhusu maandamano ya mikoa 10 nchini juu ya hoja ambayo ni kweli.

What if watu wanaandamana, kisha wanakataa kurudi majumbani wakidai serikali iondoke madarakani? Mh. JK kasoma alama za nyakati mapema.........labda lije jingine.

CDM wanataka kupandia katika hoja ya Muswada tata?

Serikali iko VERY ALERT na yanayotokea duniani.

Ukweli, CDM mpo juuuu and keep it up!!! Hongereni ZENU.
Kwenye bold hapo ndipo nimepapenda wewe siyo CDM lakini umewakubali hawa jamaa.
 
Maandamano ya CHADEMA yamezimwa kwa mantiki hiyo

CDM mlikuwa mnafanya maandamano wapi? mbona hapa nilipo kuwa wana CDM kibao lakini hakuna aneyeelewa lolote kuhusu maandamano? yale ni mawzo ya magamba, sasa magamba yamepigwa chini na mawazo yao.
 
CDM mlikuwa mnafanya maandamano wapi? mbona hapa nilipo kuwa wana CDM kibao lakini hakuna aneyeelewa lolote kuhusu maandamano? yale ni mawzo ya magamba, sasa magamba yamepigwa chini na mawazo yao.

Unfortunately, even the interior parts of your body have got magambas! Chemotherapy could help, CCM is cancerous and not only suffering from an epidermic!!!
 
Hongera serikali kwa kuwa wasikivu na kukubali kufata ushauri mbadala kwa ajili ya manufaa ya nchi
 
hakika ule mswaada unaweza kumsababishia mu ugonjwa wa moyo
Hivi hata kama mtu umesoma ukiwa ndani ya CCM akili zinagoma kufanya kazi??? kivipi uje na upupu kama ule

Mswaada umeondolewa kwa kuogopa kivuli cha cdm yaan JK anataka kutupeleka wapi jamani?
Zikianza vurugu nashauri tuzuie chakula chote kinachoingia msasani, tulipue bomba la maji na umeme uendao msasani ingalao kwa wiki mbili wajifunze abadu
 
Heshima kwako Pasco.

Mkuu maandamano yanatakiwa yawepo kama kawaida theme ibadilishwe yajikite zaidi kupinga serekali ya CCM kutugawa kwa misingi ya ukabila na dini.Kuwaandaa watanganyika na ujio wa katiba mpya,wananchi lazima washirikishwe kuanzia hatua ya kwanza hadi mwisho.

Ngongo, hakuna ubishi kuwa ni shinikizo la Chadema limeleta matokeo mazuri haya, pia hakuna ubishi kuwa Tanzania bado tuna mambo mengi ya kuyapigania mpaka kufikia Tanzania tunayoitaka, ikimaanisha kuna issues nyingi too za kuzifanyia pressure group kwa maandamano.

Lakini kama uliwaandaa wanachama wako, wafuasi wako, washabiki wako na wananchi kwa ujumla, kuandamana ili kuupinga muswada tajwa na kushinikiza uondolewe, hatimaye muswada umeondolewa kabla ya maandanmano yako, sasa jee lazima tuu uendelee kuandamana?!.
Haya maandamano sasa yamegeuka hobby kuwa tukisema tutaandamana, basi lazima tuandamane!?.

Najua wengi watashabikia maandamano, theme tuu ndio ibadilike, ili maandamano yawe pale pale, ilikuwa yafanyike kesho, kuna muda gani kubadili hiyo theme na kuwataarifu ngazi husika ili kupata vibali husika?. Au kwa sababu tayari vanavyo vibali vya kuandamana, basi bora waandamane tuu ili mradi wameandamana kushibisha kiu ya maandamano?.

Wana Chadema, naombeni msiniparure bure, I'm just trying to be objective, ili msifikiri kila anayeinga mkono Chadema ni Chadema, wengine kama mimi, niko kundi la wananchi wa kawaida, naiunga sana mkono Chadema lakini sio Mwanachama, sio mfuasi na sio mshabiki wa Chadema, ila naikubali sana tuu na ndio maana naikosoa sana tuu badala ya kuiimbia nyimbo za shangwe na mapambio, huku nikielewa wazi, mbele ya safari, ni nini kitatokea!.
 
Achana na JF kaka,ni kiboko yao thats why wana ihara na kutaka kuitokomeza,lakini kamwe will never happen,Jf daima popote ilipo,tulianza na kujadili Mzee mkama na sasa mswada na yapo mengi ya ukweli yamewezwa kuwekwa wazi ndani ya JF

Tuzidi kupambana mpaka kieleweke
Nawapa kubwa na tano wabunge wa CDM kwa kusimamia ukweli na haki ya kikatiba ya watanzania
kwani walitaka kutukimbiza kama mang'ombe,mimi nadhani wasingekuwepo CDM HILI JAMBO LINGEPITA BILA KUPINGWA
safiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Nimesadiki maneno ya Baba wa Taifa miaka kadhaa kwamba Tanzania kuna chama kimoja tuu cha upinzani kinachoweza kuleta mabadiriko vingine ni mamruki, nina amini kwa asilimia 100 kwamba in absence of CHADEMA muswada ungekuwa tayari umepita sasa. VIVA CHADEMA, VIVA JF, VIVA WATANZANIA WAPENDA MABADIRIKO.
 
ndio maana yake, tatizo ninaloliona mimi, kwenye chadema, kuna wanachama, wafuasi, mashabiki na manazi wa chadema, hivyo hata baada ya serikali kukubali matokeo na kuuondoa, manazi wa chadema bado watashinikiza wanataka maandamano yao yawe pale pale!.

maanamano lazima yaendelee kwa ajili ya kushinikiza uitaratibu bora wa kuandaa katiba!! Pipoooooooooooozzzzzzzzz!!!
 
Back
Top Bottom