fafanua unamaanisha makinda au mzee sitta maana ndio spika kipenzi.
katumia KEJELI
fafanua unamaanisha makinda au mzee sitta maana ndio spika kipenzi.
Hakuna spika kipenzi hapo wote wazandiki na wanafiki tu...
alikuwa analindwa na ffu? kwake kuna vurugu gani hivo?
Kipenzi chenu we na nani? acha kujibaraguzaSijajua mpaka sasa tafsiri yake ni nini, lakini lililotokea ni kwamba wale askari wa FFU waliokuwa wanailinda nyumba ya Mh. Spika wetu kipenzi wamepewa amri ya kuondoka na kuacha lindo hilo la nyumba binafsi ya Mh. Spika.
Kwa barua waliyosomewa Askari hao ni kwamba kwa sasa Mh. Spika inabidi ajitafutie walinzi binafsi wa kuendelea kutoa ulinzi nyumbani kwake eneo la Kijitonyama Dar es Salaam.
Source: Ni rafiki yangu ambaye mdogo wake ni mmoja wa Askari waliokuwa wanailinda nyumba ya Mheshimiwa.
..Sasa na wewe unachanganya mambo hapa kwa hiyo statement yako nani kipenzi hapo unadhani?........hako kabibi acha tu wakaondolee ulinzi si kalitaka eti kutufungia barabara kisa anataka kujenga ka-ghorofa....Kuna wamasai kibao anaweza kuwarundika tu pale kwake!!fafanua unamaanisha makinda au mzee sitta maana ndio spika kipenzi.
makinda ndo anaishi kijitonyamafafanua unamaanisha makinda au mzee sitta maana ndio spika kipenzi.