republicoftabora
Member
- May 9, 2012
- 59
- 15
Naona huyu atakuwa spika anayesafiri kuliko wote Africa
Sijawahi kuskia anafanya open workshop ya mambo ya uraia Rufiji au Ukerewe yeye kila kukicha yuko ulaya na nchi zilizoendelea
naona safari siku hizi ndio zimekuwa style ya kazi Tanzania. Kila kukicha wanasiasa wako kwenye airport lounges.
Lakini cha ajabu hakutuambiwi faida ya hizi safari
na cha ajabu hakuna mwanasiasa hata mmoja nayelalamika kuwa safari zimezidi.
Sijawahi kuskia anafanya open workshop ya mambo ya uraia Rufiji au Ukerewe yeye kila kukicha yuko ulaya na nchi zilizoendelea
naona safari siku hizi ndio zimekuwa style ya kazi Tanzania. Kila kukicha wanasiasa wako kwenye airport lounges.
Lakini cha ajabu hakutuambiwi faida ya hizi safari
na cha ajabu hakuna mwanasiasa hata mmoja nayelalamika kuwa safari zimezidi.