Speed ya computer: Processer vs RAM

Mrimi

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
1,691
635
Wakuu naombeni somo, kati ya processor na RAM kipi kina determine speed ya computer?
 
Processor mkuu ndio mpango mzima...bt vyote vinategemeana!! Huwezi kuwa na mashine yenye processor kubwa halafu RAM ndogo...ni sawa na mtu mzima awe na akili sana lakini hana kumbukumbuku!! Always vitu hivi vinaendana.
Kwa ufupi processor ndio inadetermine spidi ya comp yako, kufungua files na kuperform action mbalimbali, BUT RAM ni ile action unaifanya je inachukua muda gani kwa kompyuta kuikumbuka....
Sasa hapo kama memory ndogo ina maana mashine itatumia muda mwingi kuikumbuka hiyo program unayoifungua kufunguka. Sasa ukiwa na mashine yenye RAM kubwa bt processor ndogo nayo ni magumashi.
Maelezo yake ni magumu kidogo...
 
Wakuu naombeni somo, kati ya processor na RAM kipi kina determine speed ya computer?

Speed ya Computer kwa mtu ambaye hajui Mambo ya IT ni ile responce ya Computer kutoka pale mtu alipoamuru Application au Script fulani irun mpaka pale anapopata Majibu ( Yaani application imefunguka na kutoa Majibu). Na hiyo inategemea mambo kadhaa lakini ya Msingi ni

1. Size ya RAM ( kumbuka RAM Haipimwi kwa Speed bali size in KB or Mb unaweza kuwa 256Kb, 512Kb, 1GB RAM) Kazi ya RAM ni kuhifadhi zile programme zinazorun kwa wakati huo.

2. Proccessor kazi yake kufanya Shughuli zote zinahosu komputer na Hiyo inapimwa Kwa Speed

3. Aina ya Computer kama ni 32bits au 64 bits

All in All hata ukiwa na Proccessor ya Infinity Speed kama una limited RAM computer yako itakuwa Slow tu

Kwa matumizi ya Kawaida ya Ofisini Zingatia sana size ya RAM
 
Kujibu Swali lako ambalo umeuliza hivi

Wakuu naombeni somo, kati ya processor na RAM kipi kina determine speed ya computer?

Jibu lake ni

Kinachodetermine Speed ya Computer ni CPU ( Central Proccesing Unit) Ila RAM inaweza kuwa Bottlenet katika Kuachieve Speed ya Komputer so ili Cmputer yako iwe na Speed nzuri ni vizuri kuzingatia RAM kubwa kuanzia 1GB na kuendelea
 
Speed ya Computer kwa mtu ambaye hajui Mambo ya IT ni ile responce ya Computer kutoka pale mtu alipoamuru Application au Script fulani irun mpaka pale anapopata Majibu ( Yaani application imefunguka na kutoa Majibu). Na hiyo inategemea mambo kadhaa lakini ya Msingi ni

1. Size ya RAM ( kumbuka RAM Haipimwi kwa Speed bali size in KB or Mb unaweza kuwa 256Kb, 512Kb, 1GB RAM) Kazi ya RAM ni kuhifadhi zile programme zinazorun kwa wakati huo.

2. Proccessor kazi yake kufanya Shughuli zote zinahosu komputer na Hiyo inapimwa Kwa Speed

3. Aina ya Computer kama ni 32bits au 64 bits

All in All hata ukiwa na Proccessor ya Infinity Speed kama una limited RAM computer yako itakuwa Slow tu

Kwa matumizi ya Kawaida ya Ofisini Zingatia sana size ya RAM

Kimsingi nimewaelewa wote, ingawa kutokana na uelewa wangu mdogo wa mambo haya naona kama kuna confusion kidogo. Sinzinga anasema vyote vinategemeana ili kuperform. Wewe unasema ni CPU but unasisitiza RAM but umeongeza kitu kingine, 32bit au 64bit,je kwa zile computer zinazotumia Windows both(32 or 64bit) inakuwaje sasa? Mfano computer yangu mwanzo nilikuwa natumia 32bit lkn sasa natumia 64bit,je kuna tofauti yoyote in terms of speed; maana apparently sioni tofauti?
 
Back
Top Bottom