Its out of context, ila wenye kufikiria na wafikrie.

Men Who Eat Meat Should be Banned from Sex – PETA

The German branch of Peta claims men who eat meat should be banned from having sex, citing a researched published last year in the scientific journal PLOS One.

The study apparently found that men emit 41 per cent more greenhouse gases than the female population with their eating habits. The animal rights group linked the figures to ‘toxic masculinity’.

“If you want to resolve the climate crisis, you have to reduce meat consumption, and that’s not going to happen so long as masculinity is constructed around meat” said Daniel Cox, campaigns team leader for Peta Germany.

The activist added that a sex ban would be a decent toll on meat-eating men, "After all, every child not born saves 58.6 tons of CO2-equivalent per year," she said.

Hizo sehemu mbili bolded kwenye maelezo juu zina kitu.

1. Wewe mwanaume, kijana wa kiume, mtoto wa kiume na upo unawashabikia hawa watu ambak kwao wanao ona "Masculinity" ni tatizo.

Kila mda kila dakika wanawaza namna ya kudidimiza ama kuufutilia mbali kabisa. All these rubbish research zinafanyika purposely kwa lengo la ku-justify matendo yao.

Na of course masculinity inafutwa taratibu kwa impositions ya LGBTQA+ agenda ndani ya mwamvuli wa freedom and liberty.

2. Again wanakwambia "After all, every child not born saves 58.6 tons of CO2-equivalent per year," Hii kauli nyingine kwa jina la tafiti lengo likiwa lile lile ku-justify their agenda. Mainly hapa ikiwa depopulation, is this really what we want?

Depopulation kwa jina la Climate saving? Really?

Ok hizo drama zote ziwe ndani ya Unipolar world, ziwe itikadi za kiranja mkuu, so what next? Huh yes we all know the consequence of resistance juu yake itakacholeta.

This is just a little example of why all matured and right minded people are after Multipolar world. We shall never ever find a balance if we don't want to load each of the side involved.
 
Mpaka wa Urusi kwenda Finland leo mchana:
View attachment 2365793
Kumbe foleni tena, kwa nini wengi wanataka kutoka?
Labda wito wa Putin waje kutetea utawala wake na kichaa chake?
Hata ungekuwa wewe unapewa ushauri na veterans namna hii mtandaoni Telegram lazima utoroke kama unaweza
20220923_194211.png


Yani hata mafunzo yenyewe watapewa ya kusuasua. Wataenda bila necessary gears kadhaa ambazo wanashauriwa wajinunulie. Wanafundishana mambo ya ajabu kweli
 
Odesa ni mji wenye bandari na waweza kuufananisha na mji wetu tukufu wa Dar-es-Salaam.

Pale pana mambo mawili muhimu.

1. Russia ameweka vifaa vyake pale kuhakikisha bidhaa zote zinosafirishwa kutoka pale ni bidhaa zinosemwa , na pia kuhakikisha meli zote zinoingia bandarini Odesa zakaguliwa na Russia baada ya kukaguliwa na Uturuki kule zianziapo safari.

2. Odesa ndo yalikuwepo makazi ya manowari za kivita za Ukraine na pana viwanda vya usindikaji vyakula, visima vya mafuta na uchakataji ( kama TIPPER cha Kigamboni) na viwanda vingine mbalimbali na kadhalika.

Mwezi April Russia walishambulia Odesa kwa makombora na kuharibu miundombinu yote ya kijeshi ya Ukraine na hii ni sehemu muhimu sana (kijeshi) kwa Ukraine na kama ingeendelea kuwepo basi Russia kule Bahari Nyeusi kwenye meli zake za kivita zote zingeangamizwa na makombora ya HIMARS ambayo yangeletwa Ukraine na kuingizwa Odesa kupitia pale bandarini.

Hiyo ndo sababu kwanini Russia bado aangazia Odesa kwa jicho la tatu.

Halafu, Odesa ni mji kamili sana na umekaa uzuri kijiografia na umejaa wayahudi na makabila yote yake maskini maskini kama waalbania, wagiriki, waromania na waamernia.
Shukrani sana kiongozi natumai wengi tumekuelewa.
 
Unadhani Ukraine atasimama kushambulia?
Vita ndo vita chacha zaidi maana bado kuna baadhi aridhi ambayo inadibitiwa na Ukraine kwenye hayo majimbo.

So haiingii akili eti Ukraine isalimu amri na kuondoa wanajeshi wake kwenye hayo majimbo,
litakuwa ni jambo la kijinga mno na ambalo lina weza kuighalimu sana Ukraine ,maana akifanya jambo kama hilo litawakatisha tamaa wafadhili wake hatua ambayo itasababisha wasitishe ufadhiri wa silaa kwa utawala wa Kiev hivyo utawala wa Kiev kuanguka ndani ya muda mfupi.
 
Mambo mengine inabidi tu ucheke,majidai ya wazungu dhidi ya waafrika yote kwishanei

😂😂😂
🇫🇷The issue of wood in Europe is back on the agenda.

The overall demand for firewood in France has increased by 50% in two months.

The ordered "biofuel" will have to wait from three to six months, the BFM TV channel reported.

We are waiting for the Moldovan nouhau — a website for the sale of firewood — now in France.

Subscribe to @Sputnik
 
Vile kichwa cha fashisti Putin kinawazaView attachment 2365945
Pesa ipo hayo majimbo yakikamilisha mchakato wa kura ya maoni, basi ujenzi waanza upya na kufanana na Moscow.

Kisha hata zile MacDonalds zilibadilishwa jina na sasa zaitwa Vkusno & Tochka yaani kwa kiingereza ni "Tasty and thats it" na zote zitasambaa.

Hawa wamechukua migahawa yote 820 na hadi sasa yaendelea na kazi.
 
1: USA vs Vietnam(Taifa kwa Taifa), US alishindwa vita.
2: USA vs Teleban na Alqaeda(Taifa vs vikundi vya kijeshi), US ameshindwa vita. Ndani ya miaka 20 akiwa na support ya washirika zaidi ya 30 walicontrol mji mkuu tu

3: Russia vs Ukraine(Taifa vs Taifa), Russia ana control Donetsk, Luhansk, Kheson na Zaporizye na maeneo husika yanaendelea na kura kujiunga na Urusi.
4: Russia vs ISIS na FSA(Russia vs Vikundi vya Kijeshi), ushindi kwa Russia ndani ya miaka 2 tu ya battle. Urusi aliungwa mkono na Serikali ya Syria, Iran na Hezbollah.

Anaekwambia kivita Russia ana mpinzani, basi atakuwa kipofu wa historia.
 
Umenikumbusha Zelensky anajifanya anaihimiza dunia anaipa kama somo: Baada ya Putin kutoa speech yake rais Zelensky anaiambia US ili iiokoe dunia kabla ya Russia kufanya maamuzi ya kutumia mabomu nuclear nchini Ukraine US imuwahi Russia na ilipue sehemu zote ambapo silaha za nuclear zilimohifadhiwa nchini Russia.

Hii ndiyo akili ya Zelensky na mbinu zake za kurubuni watu. Habari zake ni za kati kwa kati ya kwamba wao ni hawana hatia na Russia ana lengo la kufuta democracy, freedom ambayo ndiyo imetahamalaki duniani na Russia kufanya hivyo ni kupambana na dunia hivyo aadabishwe kwa uzito mbali na vikwazo vya uchumi dhidi yake ambavyo kwa sasa vinawagharimu wao.

Kwa misingi hiyo Tucker mwandishi habari wa Fox News anasema: "So a corrupt Eastern European authoritarian leader in a t-shirt is lecturing us".

Tucker anahoji; Bw. Zelensky anajitoa ufahamu kuwa Urusi ni Taifa linaloongoza kwa idadi ya kuwa na silaha nyingi za nuclear hivyo athari nawe zitakupata vyema tu na kwa wingi. Mbali na hilo kwa nini US ifanye hivyo kisa Ukraine wakati njia nyingi za kusuluhisha hili zipo wazi?!

Kwa maoni ya Tucker ni kwamba viongozi wa UK,US na Bw. Zelensky ni vichaa kwa sababu China ambayo inarekodi ya kuwa na uvunjifu mwingi wa uvunjaji wa haki za binadamu kwenye baraza la UN imezungumza huu mtanange usulihishwe kwa amani kwa pande zote mbili hali ya kuwa Biden na makuhani zake wanachochea moto wa matumizi ya silaha ya nuclearhali ya kuwa huu upande unajinasibu kuwa ni upande unaojal usalama na haki za watu duniani. Kama ripoti za haki za watu duniani znamtambua China kama mvunjaji wa haki za watu anaona hatari ya hili wewe unayechochea moto kisha unajiona mwema kama si kichaa wewe ni nani?

Ndivyo Tucker alivyolihoji kwa kuhabarisha umma.
Wale wajinga wanazungumza kulia wanatenda kushoto, lau wangekuwa waumini wa upande flani ningewauliza ile kauli najua sio ngeni kwako...

Kwamba "Enyi.... Mbona mnazungumza msio yatenda".

Unafiki, na kila sifa ya kijinga imekuwa kama national symbol ya US.

Utasikia official mmoja anasema hivi, anatoka mwingine anasema vile. Media nazo zipo bega kwa bega ku-cover their idiocy. Kinachosikitisha zaidi nakirudia tena na tena, sio tu just matendo yao bali ule upofu tunao jitishwa juu yao.

Wamefanikiwa kulemaza majority akili zao, most people are dumbs. Wapo much confused kiasi wengine hawazijui hata jinsia zao. For them wako sawa na ni legal to bomb other nations. Halafu hao hao wanakwambia wana protect sovereignty ya mataifa mengine.

A country inayokaa kupanga mbinu tena publicly namna ya kuzuia ushawishi wa taifa lingine kwa mataifa mengine. Kwao wanaona sawa na waumini wao wanapongeza.

A country that take all means on their disposal, either direct war au indirectly kupitia mataifa mashirika au vikundi wanavyo tengeneza lengo likiqa lile lile kulinda hegemony yao.

Now USS Ronald Reagan ipo Korea Kusin jiran na North Korea, kwake ni sawa ila taifa lingine likifanya anaita uchokozi.

Juzi kati kuna bint kapigwa shaba Iraqi katika mazoezi waliyo ku wanaya fanya ya kijeshi hao hao United Shit of Cocaine na hakuna media iliyo zungumza hilo. So hilo nalo kwao ni sawa halina shida. Mind you hilo wanalifanya thousands of miles kutoka kwao.

Na mengi ila wacha niweke kituo, tufanye kama inatosha.
 
Yaani Putin kwa ujinga wake anadhani eti akishafanya referendum na asilimia 100 ya kura zikasema kuwa wanataka kujiunga urusi eti basi hiyo itafanya Ukraine iache struggle za kuikomboa hiyo miji!

Sanasana Urusi itafukuzwa kwenye UN na automatically itapoteza kiti katika UN. Figisu hizo za kuiondoa Urusi kutoka katika Membership ya UN Marekani inaziweza!
 
Wambie wenzako wanyamaze kimya sasa wanalia lia nini kama hayo majimbo kujiunga URUSI hayana maana.kama haibadilishi kitu inakuwaje wenzako wanapiga kelele
Inashangaza sana kuona mazombi wa Putin wakishangilia referendum kana kwamba hiyo itasimamisha mashambulizi,

Russia imeitambua Crimea kuwa sehemu yake tangu mwaka 2014, lakini hiyo haikusaidia kuzuia mashambulizi huko sembuse hii referendum ya kubumba
 
Back
Top Bottom