Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,608
Na mimi naombeni shokamzoba ya Range ya 2018 teh
Sawa natuma chiefMwenye Nissan Lucino nipe Chasis no.na ya mwaka gani?5 or 4 doors?Mwenye Polo-volkswagen nasubiri nikusikie
We jamaa.. Natafuta bampa la mbele la Toyota Passo Racy.Karibu sana mkuu
Jamaa. Natafuta bampa la mbele la Toyota Passo Racy. Shingapi vile naweza kulipata?Vile vile kuna grills za magari tofauti tofauti pamoja na shock absorbers za gari za japan, ford, vw na M/benz
Hapana hiyo sina ndugu yangu lakini naweza kukutafutia.
Zipo half cuts za pajero GGI, Rav4, suzuki ( grand vitara na escudo) kwa anayehitaji
shock up za benz c 240 (2001) mbele na nyuma complete zote 4 bei ganiVile vile kuna grills za magari tofauti tofauti pamoja na shock absorbers za gari za japan, ford, vw na M/benz