symphorianicky
Member
- Sep 16, 2014
- 48
- 5
Mimi nimemaliza kidato cha sita nataka niombe UDOM kozi maalum iyo ya sayansi kwa kutumia matokeo ya cha nne, vipi wakubwa utaratibu kwa mwaka huu
Habari yenu!
Leo napenda kutoa taarifa kuwa UDOM walishaanza kufanya application za special programme diploma sayansi na hesabu,kwa hiyo kama wewe ni kidato cha nne au cha sita na ulifaulu vizuri masomo ya sayansi apply sasa,kwani mikopo inatolewa kwa wale wote wataoomba na kupata, maombi yako yanaakaribishwa sana.
Kwa taarifa zaidi ona viambatanisho hapa chini.
Fomu ya Maombi: View attachment 251657
Mwongozo na vigezo vya kujiunga Diploma: View attachment 251658