sooo disapointed

dagaa

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
290
379
habari zenu wapendwa! mume wangu alikwenda site tunako jenga, alikwenda tangu asubuhi, akarudi sa 8 usiku, na alipokuja nilimfungulia mimi na akalala tv room, ila anachonishanga akiwa site huwa tunawasiliana ila ikifka sa kumi atumi message wala kupiga sim,na ukimpgia anaongea kwa wasiwasi, mpaka siku hizi nimeacha kumpigia. na hii ni mara ya tatu jamani nifanyeje? na si mpenzi wa kutoka nje, ila akitoka kasumba yake ndo hiyo, nahisi nimechoka na tabia hii, mi uwa namnyamazia naishia zangu kulia.
 
sasa usiposema atajuaje kama hupendi hiyo tabia? Wanamme wanakamua nje lakini mwambie ili ajue abadili trick maana hiyo kama umeishtukia atumie nyingine ambayo haitakuumiza.
Acha kutumia antena tumia brain.
 
Usimfuatilie,utakufa siku si zako,mwenzako wala hataumia kihivyo,na ataoa mwingine
 
habari zenu wapendwa! mume wangu alikwenda site 2nako jenga, alikwenda tangu asubh, akarudi sa 8 ucku, na alipokuja nilimfungulia mimi na akalala tv rum, ila anachonishangaz akiwa site uwa tunawasiliana ila ikifka sa kumi atumi msg wala kupiga na ukimpgia anaongea kwa wasiwasi, mpaka cku iz nimeacha kumpigia. na hii ni mara ya tatu jamani nifanyeje? na c mpenz wa kutoka nje, ila akitoka kasumba yake ndo hiyo, nahic nimechoka na tabia hii, mi uwa namnyamazia naishia zangu kulia, na kibaya zaidi mwanangu b

Nadhani bado hujamalizia. Ukweli wako kwa mumeo utakuweka kuwa huru. Muulize na umwambie kuwa tabia yake kwa sasa inakukera na inakufanya uwe unaishia zako kulia. Pole sana bi dada.
 
wakati mwingine wala mshkaji hafanyi kitu chochote, wanawake are good at imagining things hasa anapokuwa paranoid.

Paranoia ni ugonjwa mbaya sana unaweza ukaona sisimizi ukamkuza akawa tembo ukaita na game rangers waje wamuue.
 
Pole sana dada......huyo jamaa (m sorry) ni msha--mba sana huyo hayo madudu wenzake huwa wanayafanya with a very high degree of respect kwa mke wa ndoa.....hope tutakutana naye huko street university tumpe lesson on "how to respect a wife"

ILA; Sasa ukilia ndo nini na wewe ushakuwa mama ??? Anafanya huo unyambilis wake kwa kuwa anajua na wewe ni soft kama tissue paper.....nakuibia siri hapa (masela mnichunie ili kuimarisha ndoa ya huyu man mwenzetu) mamy sisi (responsible husbands) huwa tunatingishika khaswaa unapokuta mkeo hayuko na amani na anafanya responsibilities zake kama kawaida as la kwanza kwetu ni furaha ya familia then sarakasi za nje ndo zinanoga. kama family inayumba hata huko nje ni tasteless sasa chukia kweli na uoneshe umechukia kwa kauli na matendo tena dai hiyo haki ya kusikilizwa usiku na mchana...then umuwekee mabaya yake na kwanini wewe unayaona ni mabaya......safari za site kama uko free nawe nenda sio ukae tu unaangalia nigerian movies....mtafute pesa wote yeye akakae juani na mafundi we upumzike tuuu kama mama yake mzazi....waweza kuta kuna jirani hapo site anapika na kupakua we upo na remote tuu kubadilisha channels.............Get up....stand up...stand up for your rites (Bob Marley)
 
sasa usiposema atajuaje kama hupendi hiyo tabia? Wanamme wanakamua nje lakini mwambie ili ajue abadili trick maana hiyo kama umeishtukia atumie nyingine ambayo haitakuumiza.
Acha kutumia antena tumia brain.
Word!!!!!!:poa
 
habari zenu wapendwa! mume wangu alikwenda site 2nako jenga, alikwenda tangu asubh, akarudi sa 8 ucku, na alipokuja nilimfungulia mimi na akalala tv rum, ila anachonishangaz akiwa site uwa tunawasiliana ila ikifka sa kumi atumi msg wala kupiga na ukimpgia anaongea kwa wasiwasi, mpaka cku iz nimeacha kumpigia. na hii ni mara ya tatu jamani nifanyeje? na c mpenz wa kutoka nje, ila akitoka kasumba yake ndo hiyo, nahic nimechoka na tabia hii, mi uwa namnyamazia naishia zangu kulia, na kibaya zaidi mwanangu b

Huyo ni mume sio boifriend dada dagaa una mamlaka yakumuuliza kila unapohisi kuna chochote ambacho hakiendi sawaa...kulia sio solution wakati we unalia kama ana mambo yake ya kijinga afanya then kama kawaida atayaendeleza na mwisho wa siku yatakomaa..utakosa wa kumlaumu. Okoa ndoa hiyo mama!
 
Pole sana dada......huyo jamaa (m sorry) ni msha--mba sana huyo hayo madudu wenzake huwa wanayafanya with a very high degree of respect kwa mke wa ndoa.....hope tutakutana naye huko street university tumpe lesson on "how to respect a wife"

ILA; Sasa ukilia ndo nini na wewe ushakuwa mama ??? Anafanya huo unyambilis wake kwa kuwa anajua na wewe ni soft kama tissue paper.....nakuibia siri hapa (masela mnichunie ili kuimarisha ndoa ya huyu man mwenzetu) mamy sisi (responsible husbands) huwa tunatingishika khaswaa unapokuta mkeo hayuko na amani na anafanya responsibilities zake kama kawaida as la kwanza kwetu ni furaha ya familia then sarakasi za nje ndo zinanoga. kama family inayumba hata huko nje ni tasteless sasa chukia kweli na uoneshe umechukia kwa kauli na matendo tena dai hiyo haki ya kusikilizwa usiku na mchana...then umuwekee mabaya yake na kwanini wewe unayaona ni mabaya......safari za site kama uko free nawe nenda sio ukae tu unaangalia nigerian movies....mtafute pesa wote yeye akakae juani na mafundi we upumzike tuuu kama mama yake mzazi....waweza kuta kuna jirani hapo site anapika na kupakua we upo na remote tuu kubadilisha channels.............Get up....stand up...stand up for your rites (Bob Marley)

Tena majirani wa design hiyo wabayaaaaa.....maana atakuwa anajifanya ndo mwenyeji wa jamaa kila akienda,si anajua mwenyewe yupo busy sana.. Bonge la advice hapo umepata..Jiamini dagaa..au unaomuogopa sana jamaa? Usikute ukitia neno tu ataku-tyson...
 
Ngoja nikupe haka ka siri na mimi (wadada ipotezeeni kama hamjaona)

Mwanamke au mkeo akikupenda sana nao ni msalaba maana huwa inapelekea kitu kinchoitwa paranoia. Mme alichelewa tu unaanza kumuona anamvua nguo mwajuma. Afu labda mama ako anakupigia simu anakuambia mmeo kapita hapa kutusalimia basi wewe tabasamu linarudi usoni lakini kama usingeambiwa chochote utaona na lipstick kwenye kiatu chake.

Ndo mana mie husema kama mwanamke anaweza bora amwelewe tu mumewe.

Hajamshika na mwanamke zaidi ya kuhisi tu, chunguze kwanza hasa ndo mnapokuwa na mtoto mmoja huwa ni kama adolescence ya ndoa kwa wadada
Pole sana dada......huyo jamaa (m sorry) ni msha--mba sana huyo hayo madudu wenzake huwa wanayafanya with a very high degree of respect kwa mke wa ndoa.....hope tutakutana naye huko street university tumpe lesson on "how to respect a wife"
 
You said it all. Wanaume wengi wananogewa nje kwa sababu wake zao wanaugulia chini chini. Usimpe peace of mind uone kama huko nje itasimama. Jua position yako bidada :"you are the WIFE for Christ's sake!"

Huyo mwanaume ni wewe mwenyewe unamharibu kwa kutokuwa muwazi. Ngoja awe sugu uone kama atabadilika.

Mulika mwizi:director:

Pole sana dada......huyo jamaa (m sorry) ni msha--mba sana huyo hayo madudu wenzake huwa wanayafanya with a very high degree of respect kwa mke wa ndoa.....hope tutakutana naye huko street university tumpe lesson on "how to respect a wife"

ILA; Sasa ukilia ndo nini na wewe ushakuwa mama ??? Anafanya huo unyambilis wake kwa kuwa anajua na wewe ni soft kama tissue paper.....nakuibia siri hapa (masela mnichunie ili kuimarisha ndoa ya huyu man mwenzetu) mamy sisi (responsible husbands) huwa tunatingishika khaswaa unapokuta mkeo hayuko na amani na anafanya responsibilities zake kama kawaida as la kwanza kwetu ni furaha ya familia then sarakasi za nje ndo zinanoga. kama family inayumba hata huko nje ni tasteless sasa chukia kweli na uoneshe umechukia kwa kauli na matendo tena dai hiyo haki ya kusikilizwa usiku na mchana...then umuwekee mabaya yake na kwanini wewe unayaona ni mabaya......safari za site kama uko free nawe nenda sio ukae tu unaangalia nigerian movies....mtafute pesa wote yeye akakae juani na mafundi we upumzike tuuu kama mama yake mzazi....waweza kuta kuna jirani hapo site anapika na kupakua we upo na remote tuu kubadilisha channels.............Get up....stand up...stand up for your rites (Bob Marley)
 
Hisia zinaua haraka kuliko facts,

Tafuta kwanza facts badala ya kujitafutia kifo......!!

Nitarudu baada ya lunch,

Babu DC!!
 
You said it all. Wanaume wengi wananogewa nje kwa sababu wake zao wanaugulia chini chini. Usimpe peace of mind uone kama huko nje itasimama. Jua position yako bidada :"you are the WIFE for Christ's sake!"

Huyo mwanaume ni wewe mwenyewe unamharibu kwa kutokuwa muwazi. Ngoja awe sugu uone kama atabadilika.

Mulika mwizi:director:

Duuuuu,

Hapo umemaliza kila kitu...Hakuna mwizi anaiba penye mwanga mkali...Lazima atafute uchochoro wenye giza giza...

Ni bora huyu dada azibe vichochoro kwanza badala ya kulia lia kama mtoto!!
 
Asante babu DC, haya mambo ya hisia bila jua ukweli mi wala huwa hayaniingii.

Kuna mwingine mtu alisafiri wiki bila kuaga akadhani ni alshabab kumbe wala hata sio ila kuna coincidence ziliingiliana hapo akajua alshaba kabsa
Hisia zinaua haraka kuliko facts,

Tafuta kwanza facts badala ya kujitafutia kifo......!!

Nitarudu baada ya lunch,

Babu DC!!
 
Ushauri wangu mwingine (Plan B) ikifika siku ya kwenda site na wewe jiandae, usimwambie kuwa unaenda. Akiingia kwenye gari na wewe tia timu. Mwambie leo honey nimejisikia ghafla kuandamana na wewe.

Afu mkifika huko mwambie naomba kutumia simu yako; hapo simu yako iache home sema umesahau. Hakikisha unakaa na simu ya Mr for as long as possible mwambie unachati na friend, ikibidi uwe unachati kweli hata na ndugu. Hapo ndo utaona huyo anayemzingua either anatuma message au anapiga. Utamjua mwizi wako. Kaba mama kaba mpaka penati.

Otherwise baki ila badili sim card yake kwa siku hiyo na kuweka new sim card na kuweka simu card yake kwenye simu yako but you need to save all his numbers in his phone book to that new sim card ili akitaka kumpigia asikwame afu set simu yake kwenye private number ili anayempigia asijejibu tumia new number ila atumie namba ya simu card uloiba(hii trick niliisoma humu humu JF)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom