dagaa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 290
- 379
habari zenu wapendwa! mume wangu alikwenda site tunako jenga, alikwenda tangu asubuhi, akarudi sa 8 usiku, na alipokuja nilimfungulia mimi na akalala tv room, ila anachonishanga akiwa site huwa tunawasiliana ila ikifka sa kumi atumi message wala kupiga sim,na ukimpgia anaongea kwa wasiwasi, mpaka siku hizi nimeacha kumpigia. na hii ni mara ya tatu jamani nifanyeje? na si mpenzi wa kutoka nje, ila akitoka kasumba yake ndo hiyo, nahisi nimechoka na tabia hii, mi uwa namnyamazia naishia zangu kulia.