Sony home theater system model DAV-TZ140

Hi-fi music system ndio ndoto sitaki radio yeyote kwa sasa mpaka nisafiri au nipate mtu anajua mziki na anae aminika CHIEF MKWAWA nadhani Alisha elezea hapa hi-fi ndio baba yao baada ya home theater.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hi-fi nzuri kwa outdoors, kama una lounge yako au bar ukiweka hi-fi system ndio mwake zaidi. Kwa nyumbani ni nzuri pia hasa kama unataka uwatese na majirani!
 
Hapo ni kwamba Sony wamejitahidi kutengeneza system ambazo ni affordable kwa watu wengi. Ila kuna systems za Hi-Fi ambazo sony hafikii kabisa ila pia hazigusiki bei mkuu, kwa mfano ukitane na Hisense Hi-Fi system ina Front speakers 4 na surrounds 4, na ina 8,000Watts Bass Blast Woofer mkuu! Mara ya mwisho niliona mwaka jana ilikuwa inauzwa 8.9Million mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hi Fi na home theatre ni wanyama tofauti
Hi Fi ni maalum kwa music Home theatre kama jina linavyosugest kwa movies ila sisi tunafoji kwa music

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona KELELE ZIMEZIDI...tafuta MDUDU HUYO SAMSUNG UTULIE.....wachana na MAUZAUZA
IMG_20200328_222311.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nataka home theater yenye spika zile ndefu walau nne iwe ni lg ,samsng, sony i don care wadau mnaoifaham fashen hio mnipe ideas
 
Wakuu sony DAV DZ 830 inapatikana kwa sh ngapi?

maana hii kitu maana inaendana na ninachokihitaji.
 
Kinachofanya iwe na mziki laini sana ni mpangilio wa Front speakers na hizo surrounds speakers. Mwambie ahakikishe speaker zenye alama L(Left) zote ziko upande mmoja na zenye R(Right) zote ziko upande mmoja pia! Unapochanganya front L & surround R upande mmoja huwa inafanya kama ku-neutralize Bass ya Sub-Woofer hapo! Pia Home theatre za Sony huwa surrounds speakers zinakaa kwenye position ya kuangaliana na Front speakers,sio zote unaweka mahali moja! Surronds weka juu nyuma ya makochi yako ziwe zinapiga kwa nyuma yako.

Pia kama anataka kuongeza Bass ahakikishe ameconnect HDMI na TV yake, then DAV iwe kwenye USB au DVD Mode then afungue SETUP, atapata settings za kurekebisha speakers zote kuanzia za mbele mpaka surrounds na level ya volume anayotaka kwa moja moja...kama asipoelewa nitawawekea video hapa ya namna ya kuiset SONY DAV-DZ650.

Hii system ni nzuri sana ni watu wanashindwa tu kuitumia. USB inachagua sana, inatakiwa uwe na Flash Disk genuine, hizi za hovyo hovyo haiplay kabisa na pia kwa USB inaplay Mp3 format na AAC tu kww AUDIO files wakati Video inaplay only XVID(.avi), ukiweka mp4 itacatch audio tu! Ila upande wa DVD ,audio inaplay Mp3, AAC na .flac formats, na video files upande wa DVD inaplay almost zote as long as umeburn CD yako kwa mfumo wa DVD Video. Ndo maana ikaitwa SONY DVD Hometheatre system. Wamefanya makusudi kuondoa luxury kwenye USB ili iendane na TV yake ya SONY BRAVIA ndo maana kwenye remote ya hiyo home theatre kuna mahali imeandikwa BRAVIA sync, hapo kama una TV ya SONY BRAVIA unakuwa unacontrol kila kitu kwa remote ya Radio.

Pia kwa wale wapenda movies huu ndo mdude wetu sasa, kwenye surrounds control kuna mode inaitwa DOLBY PL, hii ukifungua inaruhusu surrounds zipige kwa 5.1 Dolby stereo channels, kwa kweli utajihisi kama uko Cinema kama umepangilia speaker zako vizuri.


All the best, ila nikuhakikishie hakuna mziki wa maana kama SONY HOME THEATREView attachment 1063029

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwema mkuu! Aisee nimefatilia huu uzi uko poa sana...na mimi langu limezingua sony ni siku ya pili leo sauti ndogo, ilianza kupungua yenyewe kila nikiongeza sauti baada ya mda nakuta imepungua. Nimejaribu kuset kila kona wapi mpaka nikalidefoult lakin wapi mpaka sasa inaongea sauti ndogo sielewi nakosea wap, msaada kwa wataalamu wanaozijua zaidi izi sony.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwema mkuu! Aisee nimefatilia huu uzi uko poa sana...na mimi langu limezingua sony ni siku ya pili leo sauti ndogo, ilianza kupungua yenyewe kila nikiongeza sauti baada ya mda nakuta imepungua. Nimejaribu kuset kila kona wapi mpaka nikalidefoult lakin wapi mpaka sasa inaongea sauti ndogo sielewi nakosea wap, msaada kwa wataalamu wanaozijua zaidi izi sony.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwema kabisa.... kwa ninavyofahamu mimi...hapo utakuwa unakumbana na matatizo kati ya haya matatu;

1. Output device(TV, mobile e.t.c) ina power kubwa sana au unakuwa umeweka volume kubwa sana then unaingiza kwenye HTS(Home Theatre System) yako kwa hiyo inajitahidi ku-regulate input data ili kulinda amplifier yake. Kutatua hili jaribu wakati wote unapounganisha na device ya nje basi volume ya device ya nje isizidi 70% mkuu. au ni vizuri iwe 50% kabisa wewe cheza na sauti ya HTS lako na utaridhika fresh kabisa.

2. Kwenye settings za HTS yako upande wa AUDIO kuna mahali unaswitch Atomatic noise clarity either ON or OFF...angalia kama iko ON.... wewe rekebisha weka OFF.

3. Unaweza kuwa umeuziwa HTS ambayo sio genuine...namaanisha kwamba umenunua ambayo ilishakufa ikawekewa engine ya Aborder au Sea Piano.... so inashindwa kuendana na uhalisia wake.... hizi HTS zenye engine ya Sea piano au aborder ziko sana madukani na ni kama mpya kabisaaaa.....

I hope nimekujibu mkuu wangu
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Back
Top Bottom