tpaul JF-Expert Member Feb 3, 2008 22,369 19,193 Oct 25, 2018 #61 Serikali haina pesa za kuweka umeme kwani pesa zote zimetumika kufanya biashara ya kisiasa kununua wapinzani.
Serikali haina pesa za kuweka umeme kwani pesa zote zimetumika kufanya biashara ya kisiasa kununua wapinzani.
D2050 JF-Expert Member Nov 28, 2013 1,906 1,070 Oct 26, 2018 Thread starter #62 msabillah said: Sidhani kama hospital ya mkoa ikose jenereta ya dharura! Click to expand... jenereta ipo ila haitumiki mkuu mbovu.tetesi zipo vile vichanga visivyotimia siku zao za kuzaliwa vilipoteza maisha vingi usiku ule kwa kukosa joto.
msabillah said: Sidhani kama hospital ya mkoa ikose jenereta ya dharura! Click to expand... jenereta ipo ila haitumiki mkuu mbovu.tetesi zipo vile vichanga visivyotimia siku zao za kuzaliwa vilipoteza maisha vingi usiku ule kwa kukosa joto.