Songea boys

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Tupo hapa kwenye Facebook, kwa waliosoma Songea Boys Sec Schoool ( wa Luila )
Log In | Facebook


259998_232854153407773_100000495708981_1033091_7790103_n.jpg



264983_232854033407785_100000495708981_1033090_1920695_n.jpg

263018_232854350074420_100000495708981_1033094_7746727_n.jpg

261218_232854756741046_100000495708981_1033101_4504566_n.jpg

261628_232854813407707_100000495708981_1033102_735812_n.jpg

253668_232854846741037_100000495708981_1033103_5946381_n.jpg
 
DUUU!! umenikumbusha mbali..hususan hilo Ford ambalo kwa wakati huo lilikuwa linaendeshwa na dereva mtanashati -maarufu dereva Ally. Gari hilo lilikuwa maarufu songea kwa vile lilikuwa linabeba wanandinga wa box 2 ambao katika miaka ya 70 hadi mwanzoni mwa 90 shule hiyo ilikuwa ndiyo club bingwa ya mkoa...Du sijui pale kwa Chenjela bado hai! maana viazi na mihogo ya pale vilikuwa vinasupplement diet hasa ya wanafunzi waliokuwa wanaishi katika mabweni ya Nile, Niger na Congo.
 
DUUU!! umenikumbusha mbali..hususan hilo Ford ambalo kwa wakati huo lilikuwa linaendeshwa na dereva mtanashati -maarufu dereva Ally. Gari hilo lilikuwa maarufu songea kwa vile lilikuwa linabeba wanandinga wa box 2 ambao katika miaka ya 70 hadi mwanzoni mwa 90 shule hiyo ilikuwa ndiyo club bingwa ya mkoa...Du sijui pale kwa Chenjela bado hai! maana viazi na mihogo ya pale vilikuwa vinasupplement diet hasa ya wanafunzi waliokuwa wanaishi katika mabweni ya Nile, Niger na Congo.

Ujamaa, Muungano, Azimio?
Wale wa TCC Matogoro wanaijua vizuri Box 2
 
Ingependeza kama ingekuwa ni Fan page more than a group... Kwani wengine Box 2 ilitugusa sana ilhali hatukusoma huko!
 
Uhuru,Muungano,mama Sizya ,mayao ya kwa Nuru, je hivi lile Grunding bado lipo ,kingine kulikuwa na bugo lilikuwa likipulizwa kujulishwa kuwa mbufu na zege vipo tayari hata ukiwa Gorani utalisikia tu ,vijana wa Box 2 oyeee ,ingawa wengine mnatuangusha kwa kuwa mawakili wa mafisadi na wengine maarufu kwa kuandika mikataba inayo liingiza taifa mkenge,nyumbi hii bombi hiii ndio nyumbani kwangu
 
Mademu wenu wa Songea Girls nao wapo kwenye FB?
Kibu ulikuwa Kaigo nini wale Tamsala,Tamso majina yalikuwa yanageuka kutokana na nyakati kwani Songea Girls wanafunzi wa kwanza waliletwa kutoka Msalato ,baadaye wakaja wale ambao hawakuhamia ndio Tamso loo kaka machozi yananitoka nikikumbuka disco la box 2 na Tamsala ,huku box kulikuwa na wanaume wa ukweli, na kule Tamsala kulikuwa na wanadada wa ukweli,ingawa wachezaji wa majimaji walikuwa watuzidi kwa kuopoa kwa kuwa walikuwa na vijisenti ilihali sisi mtaji mkubwa ulikuwa Mali kauli,unaimbisha wee unapata mzigo baada ya mwezi ,ukipata hela ya kwenda chamber unakuwa huna inabidi uahirishe game
 
DUUU!! umenikumbusha mbali..hususan hilo Ford ambalo kwa wakati huo lilikuwa linaendeshwa na dereva mtanashati -maarufu dereva Ally. Gari hilo lilikuwa maarufu songea kwa vile lilikuwa linabeba wanandinga wa box 2 ambao katika miaka ya 70 hadi mwanzoni mwa 90 shule hiyo ilikuwa ndiyo club bingwa ya mkoa...Du sijui pale kwa Chenjela bado hai! maana viazi na mihogo ya pale vilikuwa vinasupplement diet hasa ya wanafunzi waliokuwa wanaishi katika mabweni ya Nile, Niger na Congo.
Kapongo hapo kwenye RED pamenivunja mbavu ,naam diet ya mbufu,kuna siku kwenye disco na tamsala kuna dada alikuwa anaringa sana,na alwahi kuwaita wana box 2 NATO (ukitaka kuwaudhi box 2 waite NATO)alimwagiwa mustini mzima wa mchuzi mbufu ilibidi disco alikose akae kwenye gari hadi saa nane usiku(enzi hizo disco lilikuwa usiku kabla hali ya hewa haijachafuka)
 
Wee mchokozi sana, umenikumbusha mambo mengi hasa lile bweni, nimekiona kitanda changu, siku moja hokololo akiwa mwalimu wa zamu alitushukia alfajiri kutuamusha kwa bakora eti alikuwa anajiita bulldozer. Vipi ugali na small mbofu?
 
Japo sikusoma Songea Boys, na wapongeza kwa kukumbushana. Ila tusiishie hapa ni muhimu sana tukawa na mipango maalum ya kuzisaidia shule zetu za Msingi na Sekondari tulizosoma ili ziweze kuwa bora zaidi na kutoa wanafunzi waliobora zaidi.
 
DUUUU! Box 2, umetukumbusha maaali. Mayao ya mama thumni thumni, chai ya Omari. Mambo ya magoti na maharagwe ya mbinga! We acha tu. Tukumbushe pia vituko vya baadhi ya waalimu
 
Du! Mmenikumbusha mbali saaana. Nimelikumbuka hilo kwama la shule ambalo tulikuwa tunalitumia usiku kupeleka wagonjwa hospitalini na kwenda kaigo, maposeni, paramiho na Ruvuma kwenye mpira na debate. Nimeona mabweni ya Azimio na uhuru na vitanda vyetu vya madeka. Sikuona tu Ukumbi wa misosi na mikutano ambako maharage ya binga yalikuwa yakitumika. Sikuona mashamba ya mahindi, maharage na malegea. Mimi nilikuwepo huko enzi za utawala wa Mzee Mbao. Walikuwepo akina Mwanyigu, HP wa Mkinga, Ndimbo, Mwihava, Marehemu Mahinya, Maunga na Clamp.
 
Du! Mmenikumbusha mbali saaana. Nimelikumbuka hilo kwama la shule ambalo tulikuwa tunalitumia usiku kupeleka wagonjwa hospitalini na kwenda kaigo, maposeni, paramiho na Ruvuma kwenye mpira na debate. Nimeona mabweni ya Azimio na uhuru na vitanda vyetu vya madeka. Sikuona tu Ukumbi wa misosi na mikutano ambako maharage ya binga yalikuwa yakitumika. Sikuona mashamba ya mahindi, maharage na malegea. Mimi nilikuwepo huko enzi za utawala wa Mzee Mbao. Walikuwepo akina Mwanyigu, HP wa Mkinga, Ndimbo, Mwihava, Marehemu Mahinya, Maunga na Clamp.

Duh!! Kumbukumbu zako ni sahihi. Form Five unakaribishwa na uvunaji wa marejea, kidogo niingie chaka, sikujua kama ni bonge la skuli. Ila umemsahau mzee wa dispensary anaitwa Kidato. Hilo Isuzu tulikuwa tunaliita Mustini. Mdau hajatutendea haki kuiacha picha ya bwalo letu na uwanja wetu wa Basketi wenye sakafu ya matofali. Nakumbuka maji yakikatika tulikuwa tunakwenda kuoga chemchem.

Nakumbuka vijana waliokuwa wakitoka kusini tulikuwa tunawaita Mawia. Tulikuwa tukishinda Mbuzi ya ligi ya mabweni wanakula mpaka ngozi ya mbuzi. Vyoo vya DANIDA tulikuwa tunaviita Milango, ukitaka kwenda ni lazima uvue nguo zote la sivyo hautaweza kukaa na wenzako tena maana utakuwa unanuka mavi.
 
Du! Mmenikumbusha mbali saaana. Nimelikumbuka hilo kwama la shule ambalo tulikuwa tunalitumia usiku kupeleka wagonjwa hospitalini na kwenda kaigo, maposeni, paramiho na Ruvuma kwenye mpira na debate. Nimeona mabweni ya Azimio na uhuru na vitanda vyetu vya madeka. Sikuona tu Ukumbi wa misosi na mikutano ambako maharage ya binga yalikuwa yakitumika. Sikuona mashamba ya mahindi, maharage na malegea. Mimi nilikuwepo huko enzi za utawala wa Mzee Mbao. Walikuwepo akina Mwanyigu, HP wa Mkinga, Ndimbo, Mwihava, Marehemu Mahinya, Maunga na Clamp.

huyu mzee mbao nafikiri ndio alihamia mkwawa high school,
 
Duh!! Kumbukumbu zako ni sahihi. Form Five unakaribishwa na uvunaji wa marejea, kidogo niingie chaka, sikujua kama ni bonge la skuli. Ila umemsahau mzee wa dispensary anaitwa Kidato. Hilo Isuzu tulikuwa tunaliita Mustini. Mdau hajatutendea haki kuiacha picha ya bwalo letu na uwanja wetu wa Basketi wenye sakafu ya matofali. Nakumbuka maji yakikatika tulikuwa tunakwenda kuoga chemchem.

Nakumbuka vijana waliokuwa wakitoka kusini tulikuwa tunawaita Mawia. Tulikuwa tukishinda Mbuzi ya ligi ya mabweni wanakula mpaka ngozi ya mbuzi. Vyoo vya DANIDA tulikuwa tunaviita Milango, ukitaka kwenda ni lazima uvue nguo zote la sivyo hautaweza kukaa na wenzako tena maana utakuwa unanuka mavi.


Mzee umesahau vyoo vya Danida watu tulikuwa mpaka tunalia bondo! Vyoo vya kuvua nguo na kuziba pua vilikuwa vinaitwa milango saba. Pale ilikuwa nguo unaziacha umbali kama wa mita mia. Ukitoka unatoka mbio ili usitoke na upepo wa milango saba. Mawia we acha tu walikuwa moto wa kuotea mbali. Wengi wao walikuwa o'level. Siku ya punga walikuwa wanaruka mpaka juu ya meza! Du hizi srori raha kweli. (TWO MAMBO?- Hivi yuko wapi siku hizi?). (Na mzee wa kuchota?)


M
 
Back
Top Bottom