George Jinasa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 399
- 52
Du! ulikuwa Azimio nini mzee? Hiyo siku na mimi naikumbuka sana
Wee mchokozi sana, umenikumbusha mambo mengi hasa lile bweni, nimekiona kitanda changu, siku moja hokololo akiwa mwalimu wa zamu alitushukia alfajiri kutuamusha kwa bakora eti alikuwa anajiita bulldozer. Vipi ugali na small mbofu?
Duh!! Kumbukumbu zako ni sahihi. Form Five unakaribishwa na uvunaji wa marejea, kidogo niingie chaka, sikujua kama ni bonge la skuli. Ila umemsahau mzee wa dispensary anaitwa Kidato. Hilo Isuzu tulikuwa tunaliita Mustini. Mdau hajatutendea haki kuiacha picha ya bwalo letu na uwanja wetu wa Basketi wenye sakafu ya matofali. Nakumbuka maji yakikatika tulikuwa tunakwenda kuoga chemchem.
Nakumbuka vijana waliokuwa wakitoka kusini tulikuwa tunawaita Mawia. Tulikuwa tukishinda Mbuzi ya ligi ya mabweni wanakula mpaka ngozi ya mbuzi. Vyoo vya DANIDA tulikuwa tunaviita Milango, ukitaka kwenda ni lazima uvue nguo zote la sivyo hautaweza kukaa na wenzako tena maana utakuwa unanuka mavi.
Kwani mzee ulikuwa Azimio? Maana siku huyo naikumbuka sana
Mzee umesahau vyoo vya Danida watu tulikuwa mpaka tunalia bondo! Vyoo vya kuvua nguo na kuziba pua vilikuwa vinaitwa milango saba. Pale ilikuwa nguo unaziacha umbali kama wa mita mia. Ukitoka unatoka mbio ili usitoke na upepo wa milango saba. Mawia we acha tu walikuwa moto wa kuotea mbali. Wengi wao walikuwa o'level. Siku ya punga walikuwa wanaruka mpaka juu ya meza! Du hizi srori raha kweli. (TWO MAMBO?- Hivi yuko wapi siku hizi?). (Na mzee wa kuchota?)
M
huyu mzee mbao nafikiri ndio alihamia mkwawa high school,
Mkuu bweni langu lilikuwa Azimio 2 karibu na njia ya kutokea mjini.
wakuu nijuzeni kuhusu songea boys