sometimes . . .

Na hapa ndipo huwa najikanganya na watu wanaonizunguka


Tafsiri ya maisha na yangu naona ni tofauti sana
Tunaishia kugombana pasipo sababu

Ndio maana leo nikaamua niulize, kwani mantiki ya kuishi ni nini?
Labda nikipata mawazo ya wengine, naweza ona niko umbali na karibu na ukweli kiasi gani?

Asante, wewe umenielewa haswaa, nadhani maana ya maisha iko katika vitu vidogo vidogo sana
Kongosho hivyo vitu vidogo vidogo katika context gani haswa? hata wale wa karibu yao wanaweza kukufanya usione furaha ama usitimize lengo la maisha bado, kumbuka hata mwanaao can do the same, to me na hapa najua King'asti atanielewa ni kwamba mantiki ya maisha ni katika kutimiza wajibu wako basi.

ukimiliki familia nzuri yenye tija is simpy because you full felt your obligations na hizi unazipokea kama rewards tu muda mwingine ama kama kitu cha kukumtivate tu.
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe, lakini kiuhalisia

Unadhani wote tunaona maaana ya maisha kwa mtazamo mmoja??

Sidhani, lakini wengine hawajajisachi tu kwa kujihoji kama ambavyo umefanya wewe; na pengine misongo ya maisha inachukua muda na nafasi kubwa katika vichwa vyetu kiasi kwamba kujiuliza purpose ya maisha inakuwa as a last resort pale mtu anapofikiria kuend maisha yake.

lakini nina amini kuna innner joy kubwa katika kutoa kuliko kupokea au kutegemea kupokea.
Halafu tumekuwa tunachukulia vitu vingi sana for granted, mimi huwa naapreciate kitanda na godoro pale ninapolala chini (say msibani). lakini wangapi tunaangalia hata mawingu yalivyojipanga na kushukuru Mungu kwa uumbaji uliotukuka?

Wangapi tunaapreciate a roof over our head hata kama ni nyumba ya kupanga? Wangapi tunaapreciate the fact that tuna miguu yote, mikono, macho, anus hazijaziba n.k. Wachache, wengi wetu tunatumia muda na mawazo mengi kuangalia nini tunalack au tunapungukiwa.
 
sometimes huwa najikuta nashangaa tu
hivi tunaishi kwa ajili ya nini?

Baada ya kupata hayo yooote unayoyahangaikia, then what?

Avatar yako inawezakujibu swali lako...!

avatar39766_9.gif
 
mambo yanayoweza kumfanya binadamu aweze kuwaza juu ya sababu ya kuish ni pamoja na
1) ugumu wa maisha unaopelekea kutoridhika na hali halisi.
2) kuwa na malimbikizo kunakopelekea kuridhika kupita kiiasi
3) kukata tamaa, sababu ya misiba na upweke pamoja kutokubalika na mwisho kabisa
4) kutokuwa na uhakika na yale Mungu anayosema juu ya maisha

jambo la msingi ili uweze kukabiliana na haya yote stay in a positive mind, never loose hope, let God be on your side kwasababu hutakuwa na hofu yyte ile. Mungu anasema hivi Yeye akiwa upande wetu hakuna kitakachokuwa juu yetu.
usiogope kumwona mtu tajiri sana anakufa na kuacha mali zake zote ukahurumia nguvu zake za ujana alizotumia hata siku moja, kwani Yaezekana Mungu alimkusudia yeye kuwa daraja tu la kupitisha iyo mali ila mlengwa aliyelengwa kunufaika nayo yupo na atanufaika tu. tena anawezekana kabisa huyu mlengwa asiwe mtoto ama ndugu marehem bali mtu baki tu.

so kujiuiza juu ya kwann tunaish huwa naona kama ni kutaka kucomplicate maisha tu.
gfsonwin long time ok,

... am nt sure if you r being honest to your self!! Kweli kujiuliza swali hilo ni ku complicate life? au ni ku justify life ... ?
 
Last edited by a moderator:
Ni jana tu nimejiuluza hili swali baada ya kugundua housegirl wetu nyumbani ndio anayefaidi mahangaiko yetu yaani mimi,mke wangu na watoto wangu. Tukiondoka asubuhi na mafoleni haya tunarudi nyumbani usiku,yeye ndio anashinda nyumbani akifanya kazi za hapo nyumbani.
Sisi tunakuwa ofisini, asubuhi tunakunywa chai ya wasiwasi ofisini, mchana tunakula kwa mama ntilie,labda jioni tu ndio tunakula nyumbani. Housegirl anatuimia chochote kilichopo hapo nyumbani, ile radio na tv pale nyumbani sikumbuki ni lini nilikaa nikavitumia. Imefika sasa nikajiuliza hivi nahangaikia nini?nawasilisha.
 
Sasa labda naanza kukuelewa

Kwa hiyo, kila mtu ana malengo yake ya maisha? na kama ni kweli, inawezekana malengo haya hayafanani kati ya mtu na mtu?

Kwa
Kongosho hivyo vitu vidogo vidogo katika context gani haswa? hata wale wa karibu yao wanaweza kukufanya usione furaha ama usitimize lengo la maisha bado, kumbuka hata mwanaao can do the same, to me na hapa najua King'asti atanielewa ni kwamba mantiki ya maisha ni katika kutimiza wajibu wako basi.

ukimiliki familia nzuri yenye tija is simpy because you full felt your obligations na hizi unazipokea kama rewards tu muda mwingine ama kama kitu cha kukumtivate tu.
 
Ni jana tu nimejiuluza hili swali baada ya kugundua housegirl wetu nyumbani ndio anayefaidi mahangaiko yetu yaani mimi,mke wangu na watoto wangu. Tukiondoka asubuhi na mafoleni haya tunarudi nyumbani usiku,yeye ndio anashinda nyumbani akifanya kazi za hapo nyumbani.
Sisi tunakuwa ofisini, asubuhi tunakunywa chai ya wasiwasi ofisini, mchana tunakula kwa mama ntilie,labda jioni tu ndio tunakula nyumbani. Housegirl anatuimia chochote kilichopo hapo nyumbani, ile radio na tv pale nyumbani sikumbuki ni lini nilikaa nikavitumia. Imefika sasa nikajiuliza hivi nahangaikia nini?nawasilisha.

hubby aliwah kuniambia hivi unajua kwann binti wa kazi huwa anapendeza sana kuliko mama mwenye nyumba? akasema, hachomwi na jua hata siku moja, hasumbuki kujua kesho itakuwaje, anapata milo 3 ya nguvu, anapata muda wa kurefresh kwa kutizama tv na kuskiliza redio, akipaka lotion yake ngozi inakubali manake hana vumbi wala jua linalimchoma sasa nyie mama wenye nyumba mko kinyume na kila kitu. nilisema ni ukweli kabisa. lol.
 
Sasa labda naanza kukuelewa

Kwa hiyo, kila mtu ana malengo yake ya maisha? na kama ni kweli, inawezekana malengo haya hayafanani kati ya mtu na mtu?

Kwa

na ndivyo ilivyo kwamba sote dunian hatuwez kuwa na malego yanayofanana kwasababu pia tuna interest tofauti. ila tofauti ya malengo ya maisha kati ya mtu na mtu ndio inayokamilisha seti nzima ya maisha ya mwanadamu.

mfano-mm ni mwl na malengo yangu mm ni mutimiza wajibu wangu tu, hiki hunipa furaha na fahari nafsini mwangu. yupo mwanafunzi wangu waweza kumkuta malego yake ni ili awe labda daktari atibu tu watu, na huyu akitimiza hili anaona furaha sana nafsi mwake sasa kwa mm kuwa nimetimiza wajibu wangu, na mwanafunzi wangu kutimiza lengo lake kwa kusoma na kuwa daktar basi amesaidia katika mzunguko wa maisha yangu kwamba siku moja nitapata tabibu wa kizazi changu.

nafikiri umenielewa kidogo
 
Mmmh, umenipa maana mpya aisee


Umesema point kubwa sana, unaweza jikuta uko bize kutafuta unayokosa ukashindwa sahau shukuru kwa uliyonayo.

Unajua kwa nini nimefikia kujiulizwa hili swali? Unaweza jikuta unatimiza malengo yamaisha ya mtu mwingine ukasahau ya kwako, hata kama ya mwingine ni mazuri kiasi gani, lakini kama hayana mantiki kwako kwa nini uyatimize?

Sidhani, lakini wengine hawajajisachi tu kwa kujihoji kama ambavyo umefanya wewe; na pengine misongo ya maisha inachukua muda na nafasi kubwa katika vichwa vyetu kiasi kwamba kujiuliza purpose ya maisha inakuwa as a last resort pale mtu anapofikiria kuend maisha yake.

lakini nina amini kuna innner joy kubwa katika kutoa kuliko kupokea au kutegemea kupokea.
Halafu tumekuwa tunachukulia vitu vingi sana for granted, mimi huwa naapreciate kitanda na godoro pale ninapolala chini (say msibani). lakini wangapi tunaangalia hata mawingu yalivyojipanga na kushukuru Mungu kwa uumbaji uliotukuka?

Wangapi tunaapreciate a roof over our head hata kama ni nyumba ya kupanga? Wangapi tunaapreciate the fact that tuna miguu yote, mikono, macho, anus hazijaziba n.k. Wachache, wengi wetu tunatumia muda na mawazo mengi kuangalia nini tunalack au tunapungukiwa.
 
Kuna umuhimu wa kujiuliza aisee

Unaweza jikuta umeacha vitu vyenye mantiki kwako na kujikuta unaishi uongo kwa au unaishi maisha ya watu wengine.

gfsonwin long time ok,

... am nt sure if you r being honest to your self!! Kweli kujiuliza swali hilo ni ku complicate life? au ni ku justify life ... ?
 
Mimi nilikuwa namtafuta Mama V baada ya kumpata lengo langu kuu limetimia,haya mengine ni kwa ajili ya ku survive tu.(Tahadhari usiniige mimi, you'll get lost, i know my way)
 
sometimes huwa najikuta nashangaa tu
hivi tunaishi kwa ajili ya nini?

Baada ya kupata hayo yooote unayoyahangaikia, then what?
Kongosho, mimi nafikiri patakuwa na majibu kadri ya kutumia intuition au intellect katika kupata jibu!

... Intuitively ambayo sitakiwa kufanya dhibitisho lolote hapa ni kuwa tunaishi ili tujitambue na kujua asili yetu sisi kama wanadamu ... mengine of course ni upepo tu!!
 
Last edited by a moderator:
Asante, mie mwenyewe nimejikuta najikanganya sana.

Mahangaiko yooote, then what? Ukizingatia baada ya kustaafu mwili hauna nguvu tena za kutumia

Ni jana tu nimejiuluza hili swali baada ya kugundua housegirl wetu nyumbani ndio anayefaidi mahangaiko yetu yaani mimi,mke wangu na watoto wangu. Tukiondoka asubuhi na mafoleni haya tunarudi nyumbani usiku,yeye ndio anashinda nyumbani akifanya kazi za hapo nyumbani.
Sisi tunakuwa ofisini, asubuhi tunakunywa chai ya wasiwasi ofisini, mchana tunakula kwa mama ntilie,labda jioni tu ndio tunakula nyumbani. Housegirl anatuimia chochote kilichopo hapo nyumbani, ile radio na tv pale nyumbani sikumbuki ni lini nilikaa nikavitumia. Imefika sasa nikajiuliza hivi nahangaikia nini?nawasilisha.
 
Kaunga hivi umewah kuwaza kwamba, hata happy families and friends sometimes are rewards to us or motivation?

Sio kuwaza tu, l know it for the fact. Ndio maana nikasema nilivyopata mtoto nikaanza kuona purpose ya maisha yangu. Na hiyo family and friends kama haitakupa platform ya ku -give (precious time, joy, smile, care, love,money, food, ushauri your all) bado haiwezi kukulipa na kukupa inner joy.

Hivyo bado nakomalia kuwa furaha ya kweli ya ndani inapatikana katika KUTOA, na ndipo hapo tunapoona thamani ya maisha yetu!
 
Kuna umuhimu wa kujiuliza aisee

Unaweza jikuta umeacha vitu vyenye mantiki kwako na kujikuta unaishi uongo kwa au unaishi maisha ya watu wengine.

Naafikiaana na wewe na ninafikiri ndio msingi wa maisha yenyewe. Nafikiri ndio chimbuko la kuja na mtizamo kama huo ... Mantiki na uwongo ndani ya maisha!!

Kuna watu wanaamini kwenye mantiki kiasi hata under gun point hatafanya jambo fulani analoliona kuwa ni uwogo ... hafalifanya ukitaka ..vuta hiyo trigger ...!! Kwake maana ya maisha ni mantiki. Na nadhani watu kama hawa walijiuliza hili swali kufikia msimamo waliokuwa nao ...!!
 
Kwa sentensi hii naweza tumia msemo kuwa 'malaika wako anaweza kuwa shetani wako?

hata wale wa karibu yao wanaweza kukufanya usione furaha ama usitimize lengo la maisha bado, kumbuka hata mwanaao can do the same.
 
Back
Top Bottom