kweli umenena, ni upepo tu
wajua nini tunaletwa duniani tunastrugle kupata tutakavyo bt then mwisho wa cku twaondoka na kuacha yote tuloyatolea jasho.hayo ndo maisha ya mwanadamu nadhani muumba alifanya hivyo/alitupa hii life circle ili kuyapa maisha meaning pia yasiwe boring.hivyo wenye upeo wanajikuna wanapofikia bt hawajipi stress na hii life,wanaridhika na walichojaliwa na kuwa happy.
sometimes huwa najikuta nashangaa tu
hivi tunaishi kwa ajili ya nini?
Baada ya kupata hayo yooote unayoyahangaikia, then what?
Kongosho ukiwaza ki -vetity life wil take you there, nd vire versa
ndio maana yake nisamehe najua nimehariibu lugha but (-) means negative sasa kuiekea hizo suffix ndo ikabidi niuganishe hivyoKi-vetity = ki-negativity?
....dah kongosho are you ok?
Au ni usongo wa mawazo unakunyemelea.
Be positive bana, maisha haya ukiyaendekeza na kwakuwa hayana majibu rahisi, utajikuta ushajivisha kitanzi unakaribia kupiga teke ki stuli!
unaweza jikuta unahangaika kutafuta vitu, lakini unavyovitafuta si vile uvitakavyo kiukweli.
mambo yanayoweza kumfanya binadamu aweze kuwaza juu ya sababu ya kuish ni pamoja na
1) ugumu wa maisha unaopelekea kutoridhika na hali halisi.
2) kuwa na malimbikizo kunakopelekea kuridhika kupita kiiasi
3) kukata tamaa, sababu ya misiba na upweke pamoja kutokubalika na mwisho kabisa
4) kutokuwa na uhakika na yale Mungu anayosema juu ya maisha
jambo la msingi ili uweze kukabiliana na haya yote stay in a positive mind, never loose hope, let God be on your side kwasababu hutakuwa na hofu yyte ile. Mungu anasema hivi Yeye akiwa upande wetu hakuna kitakachokuwa juu yetu.
usiogope kumwona mtu tajiri sana anakufa na kuacha mali zake zote ukahurumia nguvu zake za ujana alizotumia hata siku moja, kwani Yaezekana Mungu alimkusudia yeye kuwa daraja tu la kupitisha iyo mali ila mlengwa aliyelengwa kunufaika nayo yupo na atanufaika tu. tena anawezekana kabisa huyu mlengwa asiwe mtoto ama ndugu marehem bali mtu baki tu.
so kujiuiza juu ya kwann tunaish huwa naona kama ni kutaka kucomplicate maisha tu.
pamoja na kuwa positive, lakini mantiki ni ipi?
Nafahamu mantiki za maisha haziwezi fanana kwa kila mmoja, lakini hebu nipe ambayo wewe unaona ni mantiki zaidi.
hayo yote uliyoyasema nayaelewa.
Lakini, ni mambo mengi complicated lakini bado kuna saa huwa tunajiuliza, hasa ya kiimani.
Ni kama tu hili la maisha, mantiki yake ni ipi?
Wee nikikuuliza, kwa nini uko positive na maisha, utajibu nini?
Jamani upepo ni nini wengine semi hizi ni mpya!Kujilisha upepo tu.
sometimes huwa najikuta nashangaa tu
hivi tunaishi kwa ajili ya nini?
Baada ya kupata hayo yooote unayoyahangaikia, then what?
Jamani upepo ni nini wengine semi hizi ni mpya!