THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Nawapongeza vijana wangu wanao tumia akili zao kiubunifu kwa kutuletea story mpya kila siku. Ila sasa Kitendo cha kupenda kurudia rudia story mnao jielewa mnaniboa bora muache kwa kweli. Mnatetea suala la watu wageni kwani wao hawaoni page zilizo pita. Na kama ni wagen wa Jf ni bora waombe maelezo ili waelimishwe kuhusiana na utaratibu zaidi.