MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,239
- 22,318
Kwa mamlaka niliyojipa nimeona nitoe orodha yangu ya viongozi nilioona wamefanya vizuri majukumu yao kwa taifa. Hii orodha inajumuisha viongozi kutoka upinzani pia. Sijamweka Mama Samia kwasababu isingewezekana viongozi wa chini yake kufanya vizuri kama yeye mwenyewe asingekuwa anaupiga mwingi. List ni kama ifuatavyo;
1. Ummy Mwalimu - Waziri wa afya
2. Mwigulu Lameck Nchemba - Waziri wa fedha
3. Chalamila - RC Dar es Salaam
4. Alberto Msando - DC Handeni
5. Januari Makamba - Waziri wa mambo ya nje
6. Cecilia Paresso - Mbunge viti maalum CHADEMA
7. Nape Nnauye - Waziri wa mawasiliano
8. Hawa Bananga - Mbunge viti maalum CHADEMA
9. Abdul Nondo - Kiongozi wa vijana ACT
10. Jumaa Aweso - Waziri wa maji
1. Ummy Mwalimu - Waziri wa afya
2. Mwigulu Lameck Nchemba - Waziri wa fedha
3. Chalamila - RC Dar es Salaam
4. Alberto Msando - DC Handeni
5. Januari Makamba - Waziri wa mambo ya nje
6. Cecilia Paresso - Mbunge viti maalum CHADEMA
7. Nape Nnauye - Waziri wa mawasiliano
8. Hawa Bananga - Mbunge viti maalum CHADEMA
9. Abdul Nondo - Kiongozi wa vijana ACT
10. Jumaa Aweso - Waziri wa maji