funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Kuna jamaa amenipa story kuwa kuna jamaa yake mmoja wanafanya nae kazi ktk taasisi fulani ya fedha ana demu wake ambaye ameshamtolea mahari na wako katika mipango ya awali ya ndoa
Huyu jamaa yuko njia panda kwani huyu mchumba ake (mdada) anapenda mapenzi kinyume na maumbile na ameanza kuonyesha hizo dalili za kutaka kuliwa tigo muda mrefu ingawa jamaa alikuwa hamwelewi anataka nn ila sasa ameonyesha kuhitaji baada ya jamaa kutoa mahari na kumwakikishia ndoa
Anadai zamani wakati wako katikati ya majambo yule dada katika yale makelele ya mahaba alikuwa anasema nifi... nifi... ila jamaa akawa anapotezea na kuna wakati jamaa akiwa anakula mbele yule dada anajitia kidole mlango wa pili
Sasa hapo majuzi yule dada amezidisha sana na wakiwa katikati ya majambo kama kitu kikichimoka kwa bahati mbaya yule dada anakishika na kukielekeza tigoni na huku akimlilia jamaa ampigie kwa mtandao huo.
Jamaa yuko njia panda kwani yeye hapendi kufanya kitu hicho na ni mtu wa dini kidogo na pia yule mdada anategemea kumuoa na anaofia kama ule ni mchezo wake anaoupenda na yeye hawezi kuutimiza atatoka nje na anajiuliza kama kuna watu wanamfanyia hicho kitu mkewe mtarajiwa. Jamaa amechanganyikiwa na anataka kusitisha ndoa
Je wadau mna lakusema hapo kushauri kama ikikutokea situation kama hii
Huyu jamaa yuko njia panda kwani huyu mchumba ake (mdada) anapenda mapenzi kinyume na maumbile na ameanza kuonyesha hizo dalili za kutaka kuliwa tigo muda mrefu ingawa jamaa alikuwa hamwelewi anataka nn ila sasa ameonyesha kuhitaji baada ya jamaa kutoa mahari na kumwakikishia ndoa
Anadai zamani wakati wako katikati ya majambo yule dada katika yale makelele ya mahaba alikuwa anasema nifi... nifi... ila jamaa akawa anapotezea na kuna wakati jamaa akiwa anakula mbele yule dada anajitia kidole mlango wa pili
Sasa hapo majuzi yule dada amezidisha sana na wakiwa katikati ya majambo kama kitu kikichimoka kwa bahati mbaya yule dada anakishika na kukielekeza tigoni na huku akimlilia jamaa ampigie kwa mtandao huo.
Jamaa yuko njia panda kwani yeye hapendi kufanya kitu hicho na ni mtu wa dini kidogo na pia yule mdada anategemea kumuoa na anaofia kama ule ni mchezo wake anaoupenda na yeye hawezi kuutimiza atatoka nje na anajiuliza kama kuna watu wanamfanyia hicho kitu mkewe mtarajiwa. Jamaa amechanganyikiwa na anataka kusitisha ndoa
Je wadau mna lakusema hapo kushauri kama ikikutokea situation kama hii